Kwanini kila Papa anapoongelea ushoga huwa anaonekana kanukuliwa vibaya?

Kwanini kila Papa anapoongelea ushoga huwa anaonekana kanukuliwa vibaya?

Wewe ndio huzijui na umesikia na umeadithiwa . Ata Yesu pia alimpakata malaya na kufanyiwa masaji ya miguu namalaya so unaweza ukabisa na hilo

Wewe ndio huzijui na umesikia na umeadithiwa . Ata Yesu pia alimpakata malaya na kufanyiwa masaji ya miguu namalaya so unaweza ukabisa na hilo
Wewe unaongea kishabiki ili kunitoa nje ya mada la mimi najua kabisa kuna aya na hadithi muhamadi alibusu na kusifia midomo ya mwanaume mwenzie!!!!Wanazuoni wa kiislamu wanaelewa ninachomaanisha!!!
 
Wewe unaongea kishabiki ili kunitoa nje ya mada la mimi najua kabisa kuna aya na hadithi muhamadi alibusu na kusifia midomo ya mwanaume mwenzie!!!!Wanazuoni wa kiislamu wanaelewa ninachomaanisha!!!
Wala siongei kishabiki ww umeskia na kuambiwa mwanazuoni gani uyo Shekhee ponda au ?
 
Wewe ndio huzijui na umesikia na umeadithiwa . Ata Yesu pia alimpakata malaya na kufanyiwa masaji ya miguu namalaya so unaweza ukabisa na hilo
Unataka kunitoa nje ya mada kuhusu papa na ushoga na muhamadi na aya na adithi za kubusu ndimi na midomo ya wanaume wenzie!!!!!
Wewe ndio huzijui na umesikia na umeadithiwa . Ata Yesu pia alimpakata malaya na kufanyiwa masaji ya miguu namalaya so unaweza ukabisa na hilo
 
Unataka kunitoa nje ya mada kuhusu papa na ushoga na muhamadi na aya na adithi za kubusu ndimi na midomo ya wanaume wenzie!!!!!
Izo hoja zako azina utija ila 100 % ushoga unakuwa promote na wakristo ilo lipo clear acha mambo ya hadithi mambi yako live TBC
 
Usisahau waislamu kuna aya zinaruhusu hayo mambo!!!!!Hata kiongozi wao kuna aya anasema alikua na furaha alipobusu midomo ya mwanaume mwenzie
Nakusisitizia tenga muda wako angalau upate maarifa ya msingi ya kuondoa ujinga uliokujaa kichwani..

Weka hizo aya najitoa Jf kabisa ?

Baba akimbusu mwanae na yeye anakuwa shoga ?
 
Kaka unapaniki nini sasa wakati adithi za Muhammad zinasema hivyo!!!!Wewe umeona papa tu?????Muhamadi alianza kitambo kubusu midomo ya wanaume wenzie!!!

Kaka unapaniki nini sasa wakati adithi za Muhammad zinasema hivyo!!!!Wewe umeona papa tu?????Muhamadi alianza kitambo kubusu midomo ya wanaume wenzie!!!
Akuna mtu aliepanic zaidi ya porojo mzee .Google basi lete izo hadithi tukufundishe
 
Izo hoja zako azina utija ila 100 % ushoga unakuwa promote na wakristo ilo lipo clear acha mambo ya hadithi mambi yako live TBC
Wale mashoga wa uarabuni wamekua promoted na papa au??????Au kaka watu wa díni yako hawajadiliwi ila wakristo pekee????
 
Mzee kwanza nakutoa ujinga kichwani si kila muarabu ni muislamu watu wamezaliwa Saudia ila Makkah awakanyagi na ata adithi awazijui
Wanazuoni wanajua hizo adithi za kubusiana ndimi kaka!!!Kwahiyo papa hana tofauti na muhamadi katika issue ya mapendo ya jinsia moja
 
Sasa hayo ndio maneno kaka!!!!!Afu kuhusu kunifundisha ni kwamba sisi wabantu hatufundishwi kwa dini za wageni namaanisha wazúngu,mayahudi na maarabú!!!!!
Ata kombe la Dunia la Qartar ujajifunza tu bado wanaopromote ushoga wanatokea upande gani? Aibu hii
 
Sasa wewe unataka unifundishe kwa vitabu vya wageni!!!!Mimi mbantu kaka!!!!
Sasa why unaamini izo hadithi za awo wanazuoni angali ww ni mbantu ? Ishu ipo ivi mashoga wapo kila pande ya Dunia tatizo linakuja nani anapromote uwo uchafu ??? Hiyo ndio maana yangu yaani kuupigania ujulikane ni haki ya binadamu kufukunyuliwa
 
Back
Top Bottom