Kwanini kila Papa anapoongelea ushoga huwa anaonekana kanukuliwa vibaya?

Kwanini kila Papa anapoongelea ushoga huwa anaonekana kanukuliwa vibaya?

Sasa why unaamini izo hadithi za awo wanazuoni angali ww ni mbantu ? Ishu ipo ivi mashoga wapo kila pande ya Dunia tatizo linakuja nani anapromote uwo uchafu ??? Hiyo ndio maana yangu yaani kuupigania ujulikane ni haki ya binadamu kufukunyuliwa
Nadhani hapo umekubali papa na mudí lao moja kaka!!
 
Nadhani hapo umekubali papa na mudí lao moja kaka!!
Apana Mudi tumtoe atujawah muona ,tuongee kinachoonekana ata mtoto st 7 ataskia na kuona kwa macho.Maana tukisema mudi apana ni Adithi na ata ukileta utapata jibu zaidi ya kubishana mpaka kiama. Ila now dunia kijiji
 
Siyo kila jinai (crime) ni dhambi (sin).

Jinai inarejea sheria za nchi husika wakati dhambi inarejea utii kwa Mungu na maagizo yake.

Siyo kila sheria ya nchi inamtii Mungu na maagizo yake.

Halafu alichokifanya Papa ni kama alichokifanya Yesu kwa yule mwanamke mzinzi - kuchukia dhambi, si mdhambi.
 
Nakusisitizia tenga muda wako angalau upate maarifa ya msingi ya kuondoa ujinga uliokujaa kichwani..

Weka hizo aya najitoa Jf kabisa ?

Baba akimbusu mwanae na yeye anakuwa shoga ?WANAZUONI WANAJUA NI adithi na aya za kubusiana ndimi na midomo kwa wanaume?????Kwahiyo unakubali hata wewe baba yako anakubusu mdomoni na kwenye ndimi!!!
 
Kwahiyo kaka unakataa kaka kua papa amemuiga muhamadi katika hilo???
Apana Mudi tumtoe atujawah muona ,tuongee kinachoonekana ata mtoto st 7 ataskia na kuona kwa macho.Maana tukisema mudi apana ni Adithi na ata ukileta utapata jibu zaidi ya kubishana mpaka kiama. Ila now dunia kijiji
 
Nakusisitizia tenga muda wako angalau upate maarifa ya msingi ya kuondoa ujinga uliokujaa kichwani..

Weka hizo aya najitoa Jf kabisa ?

Baba akimbusu mwanae na yeye anakuwa shoga ?
Ngoja waje wanazuoni watatuwekea kaka!!!Mambo ya mwanaume kúbusu ndimi na midomó ya mwanaume mwenzie!!!!Papa hana jipya ameiga tu kwa waliomtangulia
 
Ushoga ni dhambi ila siyo kosa kisheria.
Papa alikuwa sahihi.
... kimsingi Papa kagonga kwenye kiini cha tatizo badala ya kuhangaika na matokeo. Binadamu akiacha dhambi hata huo ushoga hautakuwepo. Sijui wanaomkebehi Papa walitakaje; atangaze fatwa mashoga wote wakatwe vichwa? Sio kazi ya Papa kuhubiri sheria za nchi (ipi?); bali kuhubiri watu kuacha dhambi!
 
Usisahau waislamu kuna aya zinaruhusu hayo mambo!!!!!Hata kiongozi wao kuna aya anasema alikua na furaha alipobusu midomo ya mwanaume mwenzie
tuwekee hiyo aya tuione usipo iweke ujijua kuwa wewe ni kafiri na usichukie ukiitwa hivio
 
Sasa papa ana tofauti gani na yule kiongozi wa dini iliyoanzia arabuni kwenye moja ya aya na adithi zake anasifia kubusu midomo ya mwanaume mwenzie kaka!!!Au wewe umeona papa tu??????
weka hiyo aya tuone usipo weka basi wewe ni kafiri
 
Wewe unaongea kishabiki ili kunitoa nje ya mada la mimi najua kabisa kuna aya na hadithi muhamadi alibusu na kusifia midomo ya mwanaume mwenzie!!!!Wanazuoni wa kiislamu wanaelewa ninachomaanisha!!!
hukumu ya mfiraji na mfwirwaji kwenye quraan ni kuuwawa lete hiyo aya yako yakuchonga tuione kafiri kwa uzushi hamjambo
 
Wewe ndio huzijui na umesikia na umeadithiwa . Ata Yesu pia alimpakata malaya na kufanyiwa masaji ya miguu namalaya so unaweza ukabisa na hilo
Unaambiwa Yule aliemuosha Yesu miguu wanazengo wanasema Yesu alikua anajipigia yaan anamla kisirisiri, hizo ni za ndani lakini
 
... kimsingi Papa kagonga kwenye kiini cha tatizo badala ya kuhangaika na matokeo. Binadamu akiacha dhambi hata huo ushoga hautakuwepo. Sijui wanaomkebehi Papa walitakaje; atangaze fatwa mashoga wote wakatwe vichwa? Sio kazi ya Papa kuhubiri sheria za nchi (ipi?); bali kuhubiri watu kuacha dhambi!
dhamba alionayo papa ni kubwa kuliko ya ushoga ndio maana anaona mapadiri wanao firia watoto nawao kuirwa ni jambo lakawaida

Dhambi aliokuwa nayo papa na wenzie wote ni kuamini kuwa yesu mwana wa mariyamu ni mungu na kuamini kuwa mariyamu ni mama wa mungu

na kuamini kuwa huyo mungu wenu yesu alizaliwa kisha akateshwa na kutundikwa msalabani kisha akafa na kuzikwa na kufufuka hii kuamini hivio ni dhambi kubwa sana kuliko ushoga
 
Back
Top Bottom