Kwanini kila Papa anapoongelea ushoga huwa anaonekana kanukuliwa vibaya?

Kwanini kila Papa anapoongelea ushoga huwa anaonekana kanukuliwa vibaya?

Ushoga ni legal nadhani,hata Vatican,kwa sababu there is no Vatican,there is just Italy.
Kwa hiyo Papa Francis akisema it is legal but it is immoral,hakuna mtu amemnukuu vibaya.
Kuna dhambi nyingi Sana ambazo ni legal. Mfano Biblia inasema ni laana kuzini na mama yako au dada yako, wahindi huo ni utamaduni mwema kabisa . Kwa sababu anasimamia kanisa Duniani ambapo Kuna diversity kubwa ya kisheria. Kwa Nini asisimamie tu kwenye morals na standard za Mwenyezi Mungu ili wanasheria wao wabaki na Sheria zao
 
Lucha naamini upo smart zaidi ya hapa je unaweza kunionyesha hapa wapi Papa alisema anaunga mkono ushoga?

Wengi msilolijua Pope na Kanisa kwa ujumla linatambua uwepo wa watenda dhambi wazinzi,watenda dhambi majambazi,watenda dhambi wafitini also watenda dhambi wafiraji na wafirwaji hao wote tunajumuika nao kwenye nyumba zetu za ibada kama wewe Muislam jua unapoingia msikitini humo humo unaingia na mwizi,mzinzi,mfiraji na mfirwaji tatizo ni namna gani hawa watu wanavyochukuliwa?sometimes yupo shoga Muislam anaogopa kuingia msikitini kuswali kwa sababu hajui yeye kwa udhaifu wake kama walivyo wezi wazinzi na wauwaji wanaoingia humo anachukuliwaje but kama viongozi wa dini husika wangetoa kauli angeokoa nafsi yake.

Mimi leo nikionekana namkaba mtu usiku asubuhi nikaonekana naingia Kanisani au msikitini nitaonekana naenda kutubu watu wataniona ipo siku nitabadilika ila mimi huyo huyo nikiwa shoga nikaingia humo japokuwa naweza nisizuiwe ila hata nitakapoenda kusimama karibu na mtu atanikimbia nisimguse but lengo letu wote ni kutubia dhambi zetu
Watu hawajamwelewa Baba Mtakatifu. Amekemea dhambi ya ushoga openly! And that's what we want! Wasiopenda dhambi ya ushoga ikemewe ni wa kuwaangalia kwa macho mawili.
 
Msimamo wa papa zaidi ya mara 3 ni kuunga mkono ushoga na huwa anasema wazi kabisa ushoga siyo uhalifu, sasa wewe ndo unajidai unataka kupindisha maneno yake
Haya beba dume mwenzako mkaandikishe ndoa parokiani ni mnaungwa mkono!.
 
Watu hawajamwelewa Baba Mtakatifu. Amekemea dhambi ya ushoga openly! And that's what we want! Wasiopenda dhambi ya ushoga ikemewe ni wa kuwaangalia kwa macho mawili.
Kabisa na wanapiga kelele utadhani kukemea ushoga ni dhambi
 
Kabisa na wanapiga kelele utadhani kukemea ushoga ni dhambi
... haha ha! Wanamkebehi aliyesema ushoga ni dhambi; nahisi walitamani aseme vinginevyo! Katu haitatokea unless Bwana na Mwokozi hakufufuka maana imani yetu ingalikuwa bure!
 
Haya beba dume mwenzako mkaandikishe ndoa parokiani ni mnaungwa mkono!.
Mimi siyo muumini wa kikristo kwa mujibu wa dini yangu ni haram mwanaume kujifananisha na mwanamke na mwanamke kujifananisha na mwanamke achilia mbali huo ushoga wenyewe kwahiyo jiheshim
 
Mimi siyo muumini wa kikristo kwa mujibu wa dini yangu ni haram mwanaume kujifananisha na mwanamke na mwanamke kujifananisha na mwanamke achilia mbali huo ushoga wenyewe kwahiyo jiheshim
Anza kujiheshimu wewe unayemshutumu Papa
 
Anza kujiheshimu wewe unayemshutumu Papa
Namshutumu au yeye mwenyewe zaidi ya mara tatu kashaeleza kwa upande wake ushoga siyo uhalifu? Kwanini hampendi kumpa mtu Uhuru wake wa kujieleza? Hebu heshimuni mawazo ya mtu
 
Namshutumu au yeye mwenyewe zaidi ya mara tatu kashaeleza kwa upande wake ushoga siyo uhalifu? Kwanini hampendi kumpa mtu Uhuru wake wa kujieleza? Hebu heshimuni mawazo ya mtu
Kwahiyo kwa akili zako ushoga ni uharifu?
 
Kwahiyo kwa akili zako ushoga ni uharifu?
Kuna kitu yanataka kusema
ila yanakwama! Sometimes ni kuyapotezea. Wenye akili Baba Mtakatifu ameeleweka vizuri sana! Ushoga ni dhambi; jitu linapinga sijui tuliweke kundi gani.
 
Wanao nukuhu vibaya hawajui kutafsiri taarifa wana shida ya mental process yaani mental process yao ni ndogo sana kwahio taarifa mpak ifike kwenye ubongo inafika kwa kuchelewa sana
 
Usisahau waislamu kuna aya zinaruhusu hayo mambo!!!!!Hata kiongozi wao kuna aya anasema alikua na furaha alipobusu midomo ya mwanaume mwenzie

Basi mpaka hapo hakuna wa kulaumiw kwa binadamu ushoga asili yake imejificha sana hata huko sodoma na gomora hawakueleza kiini au sababu za wao kuona ni sawa kushiriki ushoga kwahio bado hatujajua sababu halisi ya hili tatizo
 
Ni haram na ni uhalifu mbele ya Mwenyezi Mungu ila kwako wewe na papa siyo uhalifu na ninaheshimu hilo sikulaumu wewe wala papa hata kidogo.
Tuishie hapa.
Inaonekana wewe ni muumini wa ushoga unatamani iwe halali ila ndo vile aiwezekani.
 
Mimi siyo muumini wa kikristo kwa mujibu wa dini yangu ni haram mwanaume kujifananisha na mwanamke na mwanamke kujifananisha na mwanamke achilia mbali huo ushoga wenyewe kwahiyo jiheshim
Huheshimiki kwa sababu wewe binafsi unashindwa kuwaheshimu wenzako hapo juu nimekuuliza wapi Pope alisema anaunga mkono ushoga hujanijibu.

Ndani ya Kanisa Catholic ipo wazi linajua waumini wake ni watenda dhambi za aina mbali mbali so halioni haja ya kukemea dhambi fulani na kuacha dhambi fulani sababu zote ni dhambi na zinachukuliwa kwa uzito ule ule wewe unadhani unapoingia msikitini huingii na mashoga?huingii na wafiraji?huingii na wezi sasa kwanini kutolewa tahadhari tu kwa wezi na wazinzi wafiraji na wafirwaji wanaachwa it means wanayoyafanya ni mazuri kwa mujibu wa imani yako?

Papa kama kiongozi aliapa kuwa mjumbe wa Mungu so anao wajibu wa kusema yaliyo mema na yaliyo mazuri alimradi watu wote wavuke salama,America kama taifa inatambua ushoga ndani ya katiba yao na ndani ya Marekan kuna waumini wakatoliki ndani ya hao kuna wafiraji na wafirwaji wapo pia wasiokuwa waumini wana tabia hiyo hao nao wanapaswa kuambiwa kwa unyenyekevu kwamba japokuwa sheria za nchi zao wanazoona zinawalinda na kuwafariji wajue ipo dhambi kubwa wanayoitenda na wa kusema hayo siyo mwengine ni papa,sheikh au mchungaji kama hawajasema hayo hao nao hawafai kuwa wajumbe wa Mungu kwa sababu yale yaliyo maovu hawayakemei na huo ni unafiki.
 
Back
Top Bottom