Salaam, Shalom!!
Kila Kona ya nchi yetu Kwa sasa, dollar imekuwa mtihani, hazipatikani hata Kwa tochi,
Mfanyabiashara mwenye pesa za kitanzania, akienda benki kubadili Tshs Ili apewe USD Kwa ajili ya kuagiza bidhaa nje ya Nchi, anaambiwa dollar hamna. Analazimika kuzitafuta mtaani na kuzipata ni rate kubwa Hadi 3000sh Kwa 1 Usd.
Swali linakuja kuwa,
1. Kiongozi wetu anapofanya safari za nje Huwa anatumia Pesa za kitanzania TSHS akiwa huko Nchi za watu?
2. Na ikiwa Huwa anatumia dollar na walioambatana naye ,wao huwa wanapata wapi hizo USD ambazo wafanyabiashara wakienda benki hawazipati?
3. Tukiwaza Kwa sauti kuwa safari za nje za viongozi wetu ndizo zinakausha hazina ya dollar nchini, tutakuwa tumekosea kuwaza hivyo?
4. Ikiwa hizi Bureau de Change za mtaani wanazo dollar, iweje MABENKI yakose USD, hamnu
si harufu ya kitu kibaya hapo?
USHAURI: Kiongozi wetu mkuu na WA chini yake, wasitishe safari za nje Hadi hapo Nchi itakapokuwa na hazina ya pesa za kigeni za kutosha. Uongozi ni vitendo, ni kuongoza njia, Si maneno matupu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏
Kila Kona ya nchi yetu Kwa sasa, dollar imekuwa mtihani, hazipatikani hata Kwa tochi,
Mfanyabiashara mwenye pesa za kitanzania, akienda benki kubadili Tshs Ili apewe USD Kwa ajili ya kuagiza bidhaa nje ya Nchi, anaambiwa dollar hamna. Analazimika kuzitafuta mtaani na kuzipata ni rate kubwa Hadi 3000sh Kwa 1 Usd.
Swali linakuja kuwa,
1. Kiongozi wetu anapofanya safari za nje Huwa anatumia Pesa za kitanzania TSHS akiwa huko Nchi za watu?
2. Na ikiwa Huwa anatumia dollar na walioambatana naye ,wao huwa wanapata wapi hizo USD ambazo wafanyabiashara wakienda benki hawazipati?
3. Tukiwaza Kwa sauti kuwa safari za nje za viongozi wetu ndizo zinakausha hazina ya dollar nchini, tutakuwa tumekosea kuwaza hivyo?
4. Ikiwa hizi Bureau de Change za mtaani wanazo dollar, iweje MABENKI yakose USD, hamnu
si harufu ya kitu kibaya hapo?
USHAURI: Kiongozi wetu mkuu na WA chini yake, wasitishe safari za nje Hadi hapo Nchi itakapokuwa na hazina ya pesa za kigeni za kutosha. Uongozi ni vitendo, ni kuongoza njia, Si maneno matupu.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni🙏