- Thread starter
- #101
Tena ile mbandule jinsi inavyokaa kama wiki ndivyo inavyokuwa tamu na tamu zaidiUkipata majibu kwanini LUBISI ILIYO LALA NI TAMU SANAA HAUTO SUMBUKA😅😂😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ile mbandule jinsi inavyokaa kama wiki ndivyo inavyokuwa tamu na tamu zaidiUkipata majibu kwanini LUBISI ILIYO LALA NI TAMU SANAA HAUTO SUMBUKA😅😂😅
Sometimes sio wakati wote tuwe serious bro....utani kidogo muhimu na kujikumbusha vijimamboIla hili nchi ina watu wa hovyo saaanaaa,,,,!!!
Yaaani umegusa palepale,sisi ni wanafiki tena huyo anayesetusema alilelewa na kiporo sasa tunapozumgumzia kiporo tunamkumbusha machungu aliyopitia. Ni nani aliye na uthubutu wa kusimama na kusema hakuwa akila kiporo na asimame na kutamka mbele yetu humu.Watu wengine bwana kwa kujifanya watu wa juu au watu exposedEti kuna mtu anajifanya kumnanga mtoa mada kama vile bado ni mtot sana kwa kuongelea kiporo. Hivi watanzania wengi ndivyo vilivyotulea sisi wengine. Familia watu 12, hivi hiyo mikate na blueband itakuwa mingapi, kama ni keki utanunua ngapi, vitumbua labda ulete 50. Ila linashushwa sinia la kiporo cha wali au pilau na maharagwe, unaambiwa ngoma mpaka saa 10 mchana husikii njaa