Kwanini Kiporo cha Wali Maharagwe Yaliyo na Nazi ni Kitamu Zaidi ya Chakula Hicho Hicho Kikiwa Fresh from Kitchen

Kwanini Kiporo cha Wali Maharagwe Yaliyo na Nazi ni Kitamu Zaidi ya Chakula Hicho Hicho Kikiwa Fresh from Kitchen

Jaman jaman 😋😋😋😋sitii neno kwenye hili
 
Kukiwa na msiba au sherehe walikuwa wanakuja kuazima masufuria makubwa mawili,hapo tunamwambia Bi Mdashi sufuria moja lazima lirudi na ukoko,sasa wakirudisha unakuta moja lina ukoko wa pilau/wali,hapo Bi Mdashi anaweka maji ya moto kidogo halafu anatuambia tuiache hadi kesho asubuhi.Sasa tulivyokuwa tunawahi asubuhi kuamka na kufanya usafi hadi chai tunachemsha wenyewe.Sasa dogo yeye alikuwa mzee wa chai,yaani yeye kunywa hata vikombe vi5 kwake poa tu.Hapo kiporo kinakwanguliwa na kuwekwa kwenye sufuria ndogo humo ni mixer na maharage,wanapakua chao halafu mim na dogo tunaachiwa sufuria.Aisee tulikuwa tuna-enjoy sana ila tatizo la dogo lilikuwa ni spidi tu..Kiporo kisikie tu
 
Sasa hapo kwenye hicho kiporo ongeza na kiporo cha kisamvu cha nazi...taste yake haina mfanowe..
 
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja suala la kiporo cha wali na maharagwe tena kilichopikwa kwa nazi original ni kitamu kuliko chakula hicho hicho fresh from the kitchen.

Najua utabisha ila karibu asilimia 95% ya watu niliowauliza kuhusu hii unique and unexplainable scenario wamekubali tena wengine wakasema "unaweza kumaliza sufuria nzima", wengine wakaongezea "ni hatari, kinakuwa kitamu zaidi kikipashwa na kuliwa kwenye sefuria yake ileile ikiwa na ukoko wake", "just changanya kiporo cha maharagwe humohumo kwenye sefuria"

Je wewe unafikiri hii scernario ni kweli? nini experience yako? je wewe ulijisikiaje ukiwa mdogo enzi zile au hata sasa? ni kitafunio bora zaidi, huitaji msosi wa mchana kama ukisindikizia na chai nzito ya maziwa iliyo na Tangawizi kwa mbali?

Swali gumu ni je kuna njia yeyote ya kibiologia, kiphysiologia, kimila na kiutamaduni inaweza kuelezea mabadiliko ya utamu ndani ya kiporo cha wali na maharagwe ya nazi contrary to the nature kwamba kiporo hakiwezi kuzidi chakula fresh kwa utamu
Hata ugali uliosongwa kwenye chungu na maharage yaliyopikwa kwenye chungu yakawekwa karanga zilizokaangwa na kusiginwa, mtamu sana.
 
I see kwa ushuhuda huu,Wabongo wengi tunakula vipori, Tukiendelea hivi Ccm itatawala Milele.#Tusiwalishe watoto viporo hatakama ni vitamu,Kula mwenyewe #
 
Ndugu kiporo hiki (wali +harage nazi) ...dah hatari sana!!!!
Kiukweli bila kupepesa macho ni kitamu sana!
 
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja suala la kiporo cha wali na maharagwe tena kilichopikwa kwa nazi original ni kitamu kuliko chakula hicho hicho fresh from the kitchen.

Najua utabisha ila karibu asilimia 95% ya watu niliowauliza kuhusu hii unique and unexplainable scenario wamekubali tena wengine wakasema "unaweza kumaliza sufuria nzima", wengine wakaongezea "ni hatari, kinakuwa kitamu zaidi kikipashwa na kuliwa kwenye sefuria yake ileile ikiwa na ukoko wake", "just changanya kiporo cha maharagwe humohumo kwenye sefuria"

Je wewe unafikiri hii scernario ni kweli? nini experience yako? je wewe ulijisikiaje ukiwa mdogo enzi zile au hata sasa? ni kitafunio bora zaidi, huitaji msosi wa mchana kama ukisindikizia na chai nzito ya maziwa iliyo na Tangawizi kwa mbali?

Swali gumu ni je kuna njia yeyote ya kibiologia, kiphysiologia, kimila na kiutamaduni inaweza kuelezea mabadiliko ya utamu ndani ya kiporo cha wali na maharagwe ya nazi contrary to the nature kwamba kiporo hakiwezi kuzidi chakula fresh kwa utamu
Na ndugu yake choroko ni tamu hasa zinapokua zimepoa kabisa.
 
Ni hatari moja na nusu aisee. Ukila lazima ulewe, kuna kausingizi flani hivi lazima ukapate. 😴😴😴
 
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja suala la kiporo cha wali na maharagwe tena kilichopikwa kwa nazi original ni kitamu kuliko chakula hicho hicho fresh from the kitchen.

Najua utabisha ila karibu asilimia 95% ya watu niliowauliza kuhusu hii unique and unexplainable scenario wamekubali tena wengine wakasema "unaweza kumaliza sufuria nzima", wengine wakaongezea "ni hatari, kinakuwa kitamu zaidi kikipashwa na kuliwa kwenye sefuria yake ileile ikiwa na ukoko wake", "just changanya kiporo cha maharagwe humohumo kwenye sefuria"

Je wewe unafikiri hii scernario ni kweli? nini experience yako? je wewe ulijisikiaje ukiwa mdogo enzi zile au hata sasa? ni kitafunio bora zaidi, huitaji msosi wa mchana kama ukisindikizia na chai nzito ya maziwa iliyo na Tangawizi kwa mbali?

Swali gumu ni je kuna njia yeyote ya kibiologia, kiphysiologia, kimila na kiutamaduni inaweza kuelezea mabadiliko ya utamu ndani ya kiporo cha wali na maharagwe ya nazi contrary to the nature kwamba kiporo hakiwezi kuzidi chakula fresh kwa utamu
Siyo kiporo cha wali nazi na maharagwe pekee kuongezeka thamani kikiwa kiporo.

Onja pia maziwa yaliyolala na kuganda utofautishe na maziwa fresh, onja kiporo kisichochenshwa cha wali na kisamvu cha tui la karanga ya kutosha, onja kiporo baridi cha ugali wa sembe nyeupe na mboga ya mlenda wenye tui jingi nk nk, maana vipo vyakula vingi ni vitamu vikiwa viporo.

Wataalamu wa afya wanashauri kiporo kiliwe bila ya kuchemshwa kwa afya.

Ndani ya kiporo kuna bacteria wanaosaidia mmeng'enyo wa chakula, ukichemsha unaua hao bacteria rafiki wa mazingira ya tumboni.
 
Jamani, mimi sina la kuongeza hapa. Normal physiology na human taste inakubaliana na philosophy ya binadamu kwamba chakula fresh from the kitchen lazima kiwe kitamu kuliko kiporo. Ila linapokuja suala la kiporo cha wali na maharagwe tena kilichopikwa kwa nazi original ni kitamu kuliko chakula hicho hicho fresh from the kitchen.

Najua utabisha ila karibu asilimia 95% ya watu niliowauliza kuhusu hii unique and unexplainable scenario wamekubali tena wengine wakasema "unaweza kumaliza sufuria nzima", wengine wakaongezea "ni hatari, kinakuwa kitamu zaidi kikipashwa na kuliwa kwenye sefuria yake ileile ikiwa na ukoko wake", "just changanya kiporo cha maharagwe humohumo kwenye sefuria"

Je wewe unafikiri hii scernario ni kweli? nini experience yako? je wewe ulijisikiaje ukiwa mdogo enzi zile au hata sasa? ni kitafunio bora zaidi, huitaji msosi wa mchana kama ukisindikizia na chai nzito ya maziwa iliyo na Tangawizi kwa mbali?

Swali gumu ni je kuna njia yeyote ya kibiologia, kiphysiologia, kimila na kiutamaduni inaweza kuelezea mabadiliko ya utamu ndani ya kiporo cha wali na maharagwe ya nazi contrary to the nature kwamba kiporo hakiwezi kuzidi chakula fresh kwa utamu
Ngoja tukamuulize Dr. Janabi
 
Kuna vyakula vingi ambavyo huwa vitamu zaidi vikipoa/vikilala. Baadhi ni kisamvu na Sphaghetti. Bila shaka ni kazi ya bakteria.
 
1715277192353.png
 
Back
Top Bottom