inaonekana hujui hata Biblia. Kitabu cha Enoch kinahusianaje na Ukatoliki? Nyakati zinazozungmziwa ni za kipindi cha agano la kale na Wayahudi ndio waliopewa kuwa custodian wa Maandiko na hakukuwa na kanisa lolote muda huo.Kanisa katoliki kipindi icho kanisa likiwa moja tu
nimefika....
Biblia halisi amabayo haijachakachuliwa inajumla ya vitabu 72/73Biblia ina vitabu 66 tu hivyo vingine mmetunga nyinyi
Vipi una Idea yoyote na Apocripha books....both New Testament and Old...?inaonekana hujui hata Biblia. Kitabu cha Enoch kinahusianaje na Ukatoliki? Nyakati zinazozungmziwa ni za kipindi cha agano la kale na Wayahudi ndio waliopewa kuwa custodian wa Maandiko na hakukuwa na kanisa lolote muda huo.
Hicho kitabu hakikuwahi kuwa sehemu ya maandiko na kama ambavyo Safari ya Bulicheka hakijawahi kuwa sehemu ya Katiba ya Tanzania... Nukta!
Huna haja ya kuogopa....Vitabuvya Apocripha vipo vingi sana,,,,,Hata kule kwenye Agano la Kale vipo kibao...Ila havina maana yoyote kwa maisha ya Mkristo zaidi ya kujaa uzushi na ushabiki...Nimesoma kitabu chote cha Enock walahi wakati nakisoma nilikua natetemeka kwa uoga..
Le Mutuz uyu uyu ambae shati lake linafunika PASSOMkuu kama ndivyo ulivyoelewa hivi, basi hukukielewa kitabu cha Enoch! Na pengine ni kwa sababu ya lugha!
Enoch alipozaliwa alikuwa ni mtu mwenye muonekano wa tofauti manaa hata ngozi yake ilikuwa inang'aa sana.
Sasa wakati wa enzi hizo, wana wa Mungu (malaika) waliwatamani wanawake wa kibinadamu. Moja wa malaika wao kiongozi alikuwa anaitwa Azazel na wakashuka wakawachumbia wana wa binadamu, wakaingia kwao wakazaa watoto. Hao watoto walikuwa wanaitwa Wanefil.
Hao kina Azazel wakawafundisha wana wa binadamu juu ya mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kujipamba, kujipodoa na hata kutengeneza vioo vya kujiangalia. Walifanya machukizo mengi sana mbele za Mungu.
Basi hao wanefil wana wa hawa malaika walikuwa ni madubwana na walikuwa wamekuwa mzigo mkubwa mbele za jamii maaana walikula vyakula vyote vikaisha, wanyama, ng'ombe n.k.
Basi binadamu wakamlilia Mungu juu ya hao wanefil maana walikuwa wameilemea nchi.
Sasa kwa matokeo hayo Mungu akaagiza kuwa kina Azazel na malika wengine wafungwe kwenye gereza huko kuzimu mpaka siku za mwisho, pia akawatupa hao wanefil huko kuzimu ndio wakawa majini au pepo wabaya unaowasikia sasa hivi.
Enoch ndiye aliyeitwa na Mungu mpaka mbinguni na wakati anaelekea huko mbinguni kuongea na Mungu nadhani alikuwa amefika kwenye mbingu ya tatu ndipo alipokutana na kina Azazel wakawa wanamsihi awaombee msahmaha kwa Mungu kutokana na matendo yao ili waachiliwe...
Basi kufika huko mbinguni, Enoch alipanda mpaka mbingu ya saba kuongea na Mungu juu ya mambo mbali mbali na ndipo Mungu akampa Enoch kazi ya kwenda kuwahukumu hao malaika wakosefu kina Azazel...
Kwa hiyo sio kweli kuwa Wanefil ndio walikuja kuwa watu weusi... Bali ndio walikuja kuwa majini!
Na hao wanefil ni madubwana makubwa kweli kweli. Yani Mnefil mmoja wanaigina kina Le Mutuz Watano hivi!
na wala hakufa alipaa na mdada mmoja[/QUOTE]<br />siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo....... jack the giant haina tofauti na puss in boots
Inaitwa Frankenstein[/QUOTE]na wala hakufa alipaa na mdada mmoja
Yeah, sijajua exactly uko interested kwenye eneo gani, lakini kuna vitabu kati yake ni Historia nzuri sana na vinarekodi facts (mf. 1 Makabayo) na vingine fiksi nyingi kama Infancy Gospel of Thomas.Vipi una Idea yoyote na Apocripha books....both New Testament and Old...?
Acha uongo wewe. Yaani Enock na hao akina Luka na Matayo alitangulia nani? Yaani usimuamini Enock ukamuamini Luka ambaye kimsingi habari za Yesu kasimuliwa tu.Wapendwa, msidanganyike. Enoki alikuwa na vitabu viwili. Cha kwanza, ni mile kilichohusika na majina ya malaika wote , ukiwa ni pomaja na wale majemadari 72 waliofukuzwa mbinguni. Kitabu hiki, ndicho kinachotumiwa na waganga, na hata wahubiri wa makanisa ya sasa katika kazi ya utoaji wa mapepo. Waganga Hawa, pia hutumia vitabu viwili vya mfalme sulemani alivyoviandika na kuvitumia katika mambo ya uuguzi. Kwa hivyo,kitabu cha Enock cha majina ya malaika, hakina faida yoyote kwa Mtu asiyekuwa na mambo ya uganga.wanaokitumia kitabu hiki, ni wale wanaotaka kutumia watu vipande, na kutibu kwa njia ya uganga. Sasa kama mkristo, unakatazwa kutafuta msaada kutoka kwa watu, viumbe vilivyoko mbinguni,(malaika), ya nini kuhangaika na kitabu chenye majina ya malaika?. Kitabu cha pili cha Enock ni kitabu kinachohabari zote za maisha na kazi aliyoifanya Bw. Yesu. Yaani vitabu vya Injili (Mathayo, Marko, Luka , na Yohana. Maelezo ni Yale yale , tofauti ni kuwa badala ya jina la Yesu imeandikwa "kiongozi wa watu".) Hivyo hakukuwa na sababu yoyote ya kuhangaika na kitabu cha Enock . Anayetaka kusoma kitabu cha pili cha Enock, asome Injili za mathato, Marko, Luka, na Yohana,.Achana na vitabu vya Enock vitakutenga na jina tamu, la Yesu maana wa Mungu Aishiye milele.
Sababu kuu ni kwanba wayahudi hawakua wakikitumia kama sehemu ya vitabu vyao vitakatifu.Salam
Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester
Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.
Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.
Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?
Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?
Kwatarifa yako Martin Luther ndiye aliyepunguza vitabu 7 vya Agano la kale......Upo dunia gani wewe...Au wewe ni Msabato nini....?Vitabu vilivyopo ktk biblia vinatosha kabisa kukupeleka mbinguni maana vitakuongoza kumjua Mungu isipokuwa vichache vilivyoongezwa ktk biblia na kanisa Rc vitabu kama vile baruku, yoshua bin sira, tobithi n.k maana havina uhai ndani yake
AsanteDini yenu kawazuia nani kukirudisha? Na nani kakuradhimisha kusoma vitabu walivyochagua wakatoliki, mbona wenzako waliona hata hivyo navyo bado vingi wakanyofoa vingine 7 na hujawasikia wenzio wa ujerumani wanaotaka kutengeneza compendium ya biblia yenye vitabu 6 tu???