Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv unajua biblia imetokana na nini zamani vitabu vilikua separately ndo mtakatifu Jérôme akaviweka pamoja unaposema vitabu vimepunguzwa nashindwa kukuelewaKuna bonge la kitabu lilitolewa pia lilikuwa linaitwa gospel of Thomas!....... Nafikiri hiki ndo kilikuwa kitabu bora kabisa katika bibilia!.....Sisi wanadamu hasa wa dini ya kikatoliki ni wabaya sana![emoji22]
Nyie biblia mmeitoa wapi?
Kitabu kilitolewa katika huo mkusanyikoHv unajua biblia imetokana na nini zamani vitabu vilikua separately ndo mtakatifu Jérôme akaviweka pamoja unaposema vitabu vimepunguzwa nashindwa kukuelewa
Kuna choices zaid ya billion katika duani kama unaona akina mana just leave it,,,,,it just a matter of choiceYaliyomo kwenye Biblia hayakutoshi Mkuu mpaka unataka kupachika kisichokuwemo? Ukiona hivyo hicho kitabu si cha Biblical. Una haja nacho soma kwa faida yako.
Yaani tu kwa mfano....Mkuu wengine tunataman kujifunZa hayo but hatujui tunaanzaje..
Dondosha nondo kamanda.
<br />siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo....... jack the giant haina tofauti na puss in boots[/QUOTE][quote uid=383510 name="ganja gal" post=21963463]Sio JACK THE GIANT kweli
<br />siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo....... jack the giant haina tofauti na puss in boots[/QUOTE][quote uid=383510 name="ganja gal" post=21963463]Sio JACK THE GIANT kweli
Kitabu kilitolewa katika huo mkusanyiko
<br />siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo....... jack the giant haina tofauti na puss in boots
na wala hakufa alipaa na mdada mmoja[/QUOTE]<br />siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo....... jack the giant haina tofauti na puss in boots
kweli kabisaa aiseeee bonge moja la muvi huchoki kuitazama ile[/QUOTE]na wala hakufa alipaa na mdada mmoja
Salam
Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester
Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.
Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.
Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?
Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?
Yako inaitwaje?biblia zipo nyingi sana mkuu mi ya kwangu inacho!