Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Mkuu,ndiyo maana nasema kwamba kuna mambo ukisema yana madhara.Sizungumzii madhara ya kimwili lakini kwa watu ambao wanakuwa wanakutazama kwa namna fulani hivi wataanza kuhisi labda una matatizo....

Taratibu tutakuwa tunaelezana tu.Siku moja mwaka 2011 nilimueleza bro wangu mmoja kuhusu uwepo wa mambo yanayofichwa na yanayofanywa na aina fulani ya watu wasiofahamika na wengi.Bro wangu huyu aliniangalia kisha akatikisa kichwa kuonesha amenisikia,lakini sikujua kuwa alikuwa ameanza kuhisi nina shida kichwani hadi alipokuja kupata ushahidi wa niliyomwambia halafu akaja kuniambia ukweli wa namna alivyoniona.....

Tangu siku hiyo nimekuwa makini sana kusema sema mambo hovyo maana unaweza kujikuta unaharibu mahusiano yako na watu bila sababu ya msingi maana mtu ataanza kuhisi labda unavuta bangi au una shida fulani za kufanana na hizo na akaanza kukukwepa.....

Ninakuwa mpole na taratibu tutakuwa tunaambizana yale yalayotustahili mkuu....
umenena mazito sana. Ni kweli kuna mambo ukizungumza unaweza onekana ni kichaa mbele ya jamii. Ya sirini ni makubwa mno mno mno kuliko yaliyo wazi. Hata siri tu za serikali kuna baadhi zikisemwa kuna watu lazima watesema msemaji ni kichaa maana hawaamini kama serikali inaweza fanya hayo.

Baadhi ya wazazi pia wana siri ambazo watoto wao hawajui na pindi ukiwambia watakuona umechanganyikiwa na utageuka kuwa adui yao mkubwa
 
baby wangu kumbe unamjua Mungu eeh ngoja nitafute kitabu cha tomaso halafu kitakuwa cha kweli maana huyu tomaso alikuwa mwanafunzi wa yesu so ina maana aliyoandika ni ya kweli maana aliyaona unlike kina mathayo .luka marko wale walisimuliwa tu
Mimi simwamini Paulo kabisa, maana hana maandiko yenye kugusa moyo zaidi huwa anashauri mambo ya mwili tu, hii hunifanya nihisi huyu hakuwa mwanadini ila msomi tu aliyewalaghai watu waoga wa kipindi kile.
 
Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Anakuja mtu anatudanganya eti mbona biblia haijaandika, wewe ndiyo hujaongozwa na roho mtakatifu kupata elimu zaidi, na biblia imeandika ukweli mtupu.

Ila haisasema hapa ndiyo mwisho wa kila kitu, ila yenyew ndiyo chanzo cha elimu zote maana kila walipoona msitari wa biblia waliutafutia chanzo na kuwa story kubwa, jamani tusiishi kwenye mabano ya mzungu tujifungue kama vipi[emoji3] [emoji3]
 
Yetu niyale ambayo ametufunulia ambayo hatujafunuliwa sio yetu wala tusihamgaike nayo maana hakuna awezae kuongeza limo cha urefu ulio nao. WEWE MKUBALI YESU KUWA MWOKOZI WA MAISHA YAKO TU.
Nilitaka kuropoka nimeacha tu
 
Kuna bonge la kitabu lilitolewa pia lilikuwa linaitwa gospel of Thomas!....... Nafikiri hiki ndo kilikuwa kitabu bora kabisa katika bibilia!.....Sisi wanadamu hasa wa dini ya kikatoliki ni wabaya sana![emoji22]
Ntakipataje hiko mkuu
 
Shukran sana mkuu kwa kunileta huku....

Mkuu,unajua kuna mambo hata huwezi kusema unajikuta unabaki nayo wewe mwenyewe tu huku ukijiuliza mambo mengi sana.Siyo kila kitu ni cha kusema kila mahali maana unaweza kujikuta watu wanaanza kukuchukulia wa ajabu sana na pengine wanaanza kuhisi labda una shida upstairs kumbe siyo.....

Niliwahi,na bado nina hisia hasi sana kuhusu watu weupe na chanzo au asili yao.Niliwahi kumuambia mtu mmoja tena ni memba wa hapa JF kwamba niliwahi kujiuliza sana kati ya mtu mweusi na mweupe ni nani aliyepungua,yaani ni yupi anaonekana ana "mapungufu"...

Nilipokuja kukumbana na ishu ya melanin hapo ndipo nikaanza kupata ka picha kadogo sana kwa mbaaali....

Mkuu,kuna mambo ya kutisha sana huko sirini na kuna makundi makubwa makubwa sana yanayoheshimika sana mbele za watu yamehusika na ufichaji huu wa kutisha sana wa mambo haya,good thing ni kwamba BWANA WA MABWANA alisema "hakuna kilicjho sirini ambacho hakitafichuliwa" na leo hapa tunajadili mambo ambayo kuna watu hata hawapiti kusoma maana wanaona ni upuuzi....

Niliwahi kusema na ninasema tena,ogopa sana mambo yanayoonwa ni ya kipuuzi kama haya maana yamebeba ukweli mwingi sana tena sana.....

Huwa tunaangalia movie kama movie tu lakini hawa "wajinga" huwa wanapitisha humo ujumbe wao wa kweli na yale wanayoyapanga.tatizo moja kubwa la ukweli ni kwamba uko mama moto,utauficha sana lakini moshi utakukereketa na utatoka tu,ukweli upo hivyo,utakusumbua sana lakini utausema hata kwa namna nyingine na wao wanasema sana kupitia movie.....

Hivi ni kwanini kwa mfano kwenye Movie ya Babylon A.D aliyocheza Vin Diesel amevaa t-shirt imeandikwa Afreeca mwanzoni tu inapoanza,tena ni nyeusi?

Ni kwanini jina la Movie linaonekana baana ya kuonekana "Statue of Liberty"? Unajua hiyo sanamu ni ya nani?

Mkuu,nataka nikupe ushauri ambao utakuja kushangaa sana na pengine utatoa machozi siku zijazo kama tutajaaliwa uzima,anza kuangalia movie kwa mtazamo mwingine kabisa na soma sana habari za "siri" utakuja kuniambia kitu.....

Ninaandika haya nikiwa na hzuni sana maana wengi wanadharau sana mambo haya lakini iko siku watalia na kusaga meno.Tunapenda sana kudharau yanayodharaulika,ni nani anaweza kufikiria kuwa kichaa huwa ni mpelezi wakati mwingine?

Mkuu,wewe na mimi tuna nafasi moja muhimu sana hapa duniani.Waangalie Wabantu wote duniani na uwaache kama walivyo,iko siku utaelewa ni kwanini.....

Nakuomba mkuu uwe mpole tu.....
Niliwahi kumwambia mtu mmoja kasoma hgl mpaka advance, mtu wavkwanza kuumbwa ni mmbatu, akanibishia nikampa sababu moja tu,

Watoto wote duniani wakianza kuongea maneno mama huita mama na lingine wanalofanana ni Dada, lingine wanalofanana ni tata, Kwahyo nikamwambia kati ya lugha moja ya kibantu ndiyo ilikuwa lugha ya Adam, maana had Leo haijajulikana kabila gan ilibaki na lugha ya Adam baada ya mgawanyo wa lugha pale Babylon.

Halafu jiulizeni sana EA kuna nini kila Kiongozi mkubwa duniani lazima akanyage kuna nini? Kumbuka fuvu la binadamu wa kale haikuwa Bahat mbaya.
 
Mkuu,ndiyo maana nasema kwamba kuna mambo ukisema yana madhara.Sizungumzii madhara ya kimwili lakini kwa watu ambao wanakuwa wanakutazama kwa namna fulani hivi wataanza kuhisi labda una matatizo....

Taratibu tutakuwa tunaelezana tu.Siku moja mwaka 2011 nilimueleza bro wangu mmoja kuhusu uwepo wa mambo yanayofichwa na yanayofanywa na aina fulani ya watu wasiofahamika na wengi.Bro wangu huyu aliniangalia kisha akatikisa kichwa kuonesha amenisikia,lakini sikujua kuwa alikuwa ameanza kuhisi nina shida kichwani hadi alipokuja kupata ushahidi wa niliyomwambia halafu akaja kuniambia ukweli wa namna alivyoniona.....

Tangu siku hiyo nimekuwa makini sana kusema sema mambo hovyo maana unaweza kujikuta unaharibu mahusiano yako na watu bila sababu ya msingi maana mtu ataanza kuhisi labda unavuta bangi au una shida fulani za kufanana na hizo na akaanza kukukwepa.....

Ninakuwa mpole na taratibu tutakuwa tunaambizana yale yalayotustahili mkuu....
Hapa hatujuani kihivo halafu hapa ni zaidi ya CHUO kikuu Yale hawagusi huu moto. We mwaga nondo
 
Vitabu vilivyopo ktk biblia vinatosha kabisa kukupeleka mbinguni maana vitakuongoza kumjua Mungu isipokuwa vichache vilivyoongezwa ktk biblia na kanisa Rc vitabu kama vile baruku, yoshua bin sira, tobithi n.k maana havina uhai ndani yake
Pamoja na vitabu vyote vya Paulo haviko kiroho yanini tufichane?
 
Kwahyo ni wazi kumbe agano jipya halina umuhimu, maana Yesu alitumia la kale, Halafu je alinukuu vitabu vyote???
 
Kwahyo ni wazi kumbe agano jipya halina umuhimu, maana Yesu alitumia la kale, Halafu je alinukuu vitabu vyote???
 
Hawa Wazungu Ni Devils. Tulifichwa,Tumefichwa,Tunafichwa Na Tutafichwa Vitu Vingi Sana Hasa Katika Dini Ya Ukristo Na Biblia. Sasa Mtu Anaanzaje Kuedit Biblia For Example?
That Simply Means Vile Ambavyo Ni Incosistent Au Against Their Interests Na Beliefs Basi Vitang'olewa Kwa Makusudi.
hivi na sisi wafrika tunaweza kuficha baadhi ya vitabu kwenye bible ili wazungu wasivione
 
Ajabu na kweli, hawa wanaoleta hizi stories hapa wana hidden agendas na mipango mikakati maalumu ya kuzitekeleza.

Kama mtu ana weza kuandika haya kuhusu kitabu cha Henoko lakini eti kashindwa kuona wakati ule Bwana Yesu anasulubiwa msalabani mmoja wa wale wawili waliosulibiwa naye alingia mbinguni kwa kumuomba Bwana Yesu palepale wakiwa wametundikwa, haikuhitaji nukuu ya Henoko wala Yashua ili ahakikishiwe huo wokovu wake.

Na Mungu kawapiga upofu na utahira wa kudhania kuwa kukosoa Biblia kutasaidia kuwarudisha nyuma wale ambao walishakata shauri kumpokea Yesu. Alishindwa Paulo wakati ule akitwa Sauli wataweza hawa wa kizazi cha makinikia?


Na washawasha!
Wale jamaa wakisema ukweli, wanakomaa kweli kweli, ila wakidanganya tu, wanakfundisha kuupuuzia ukweli, they are trying to be you after they have changed your thinking it something else!
 
Wale jamaa wakisema ukweli, wanakomaa kweli kweli, ila wakidanganya tu, wanakfundisha kuupuuzia ukweli, they are trying to be you after they have changed your thinking it something else!
...your thinking into something else..
 
Back
Top Bottom