maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Ukistaajabu ya Musa,
Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.
Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?
Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?
======
UPDATES: 18 Nov 2022
======
UFAFANUZI KUTOKA MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI (EWURA)
Kituo kimejengwa kwenye road reserve kwa makubalino ya kisheria na utaratibu baina ya wamiliki na TANROADS
Hivyo, EWURA inapotoa kibali cha ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo fulani, huwa imejiridhirisha kwamba vigezo vyote vimezingatiwa.
Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.
Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?
Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?
======
UPDATES: 18 Nov 2022
======
UFAFANUZI KUTOKA MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI (EWURA)
Kituo kimejengwa kwenye road reserve kwa makubalino ya kisheria na utaratibu baina ya wamiliki na TANROADS
Hivyo, EWURA inapotoa kibali cha ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo fulani, huwa imejiridhirisha kwamba vigezo vyote vimezingatiwa.