Kaboya Kenneth
JF-Expert Member
- Aug 4, 2009
- 286
- 278
Habari za mtaani kwetu hicho kituo ni cha manispaa ya ubungo, wasimamizi wa ujenzi ni Tanroad wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wao Sheria ya kujenga VITUO vya mafuta kwenye makazi ya Watu au barabarani haiwahusuHabari za mtaani kwetu hicho kituo ni cha manispaa ya ubungo, wasimamizi wa ujenzi ni Tanroad wenyewe.
Kama watu walivunjiwa nyumba nayeye anaacha ajenge permanent building haina afya sana, inaweza kuibua hisia kwa raiaYule amepanga eneo la Tanroad kwa muda fulani, anawalipa Tanroad hela, siku wakitaka tumia eneo anapewa notice anaondoka bila kudai chochote
Habari za mtaani sio reliable source hapo ni kuwaandikia ewura watatoa majibu madhubutiHabari za mtaani kwetu hicho kituo ni cha manispaa ya ubungo, wasimamizi wa ujenzi ni Tanroad wenyewe.
atakuwa ester express mbeba mfuko wa taifaUkistaajabu ya Musa,
Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.
Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?
Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?
ndo maana ccm wanahamasisha kila siku chadema kujenga ofisi,yaan walivyo n roho mbaya hata wakijenga kule buza wangetafuta tu sababu wakalivunjeKwani hujui kama jiwe alikua na visasi vya mbwa? unaweza kuvunjuiwa nyumba mita miatano huko kwa kisingizio cha road reserve wakati wenzio wa mita mbili tu hawako kwenye road reserve
Kwa kweli hakuna Namna, Pigeni hela wazeeAcheni na sisi mafundi ujenzi tupige hela
EsterLabda ni cha bwana Lameck Madelu
Serikali ilichukua sampo ya vipimo vya mita toka barabarani na vimepelekwa kwa mkemia mkuu kwa uchunguzi, majibu yakirudi kitaruhusiwa kuendelea na ujenzi wa taifa kupitia usafirishaji, asante ndugu mzalendo kwa kuliona hilo na kutoa taarifa na ukiviona vingine tujulishe.Ukistaajabu ya Musa,
Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.
Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?
Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?
Mbona yule wa pale kimara suka wamempiga pin hadi leo?Yule amepanga eneo la Tanroad kwa muda fulani, anawalipa Tanroad hela, siku wakitaka tumia eneo anapewa notice anaondoka bila kudai chochote
Acha watu wafanye Kazi Ni Upumbavu unajua Ni mafundi wangapi na Mama ntilie wangapi wanapata Maisha happy?
Sasa hizi zama si waruhusiwe wote warudishe vituo vyao? Na waliovunjiwa nao warudi basi
Hata hzi sheli za adimiral zinajengwa barabaran sanaYule amepanga eneo la Tanroad kwa muda fulani, anawalipa Tanroad hela, siku wakitaka tumia eneo anapewa notice anaondoka bila kudai chochote
Esta kasema hamiliki hata bajajiatakuwa ester express mbeba mfuko wa taifa
unafahamu kwamba hapo kituo kinapojengwa kulikuwa nana nyumba ya mtu ilibomolewa kwamba ipo barabarani? Tena bila kulipwa fidiaAcha watu wafanye Kazi Ni Upumbavu unajua Ni mafundi wangapi na Mama ntilie wangapi wanapata Maisha happy?
Tuache kulalamika acheni na sisi mafundi ujenzi tulambe Asaliunafahamu kwamba hapo kituo kinapojengwa kulikuwa nana nyumba ya mtu ilibomolewa kwamba ipo barabarani? Tena bila kulipwa fidia