Kwanini Kituo cha mafuta 'Rupeez Oil' kimejengwa kwenye hifadhi ya barabara Kimara Stop Over?

Kwanini Kituo cha mafuta 'Rupeez Oil' kimejengwa kwenye hifadhi ya barabara Kimara Stop Over?

UFAFANUZI KUTOKA MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI (EWURA)

Kituo kimejengwa kwenye road reserve kwa makubalino ya kisheria na utaratibu baina ya wamiliki na TANROADS

Hivyo,EWURA inapotoa kibali cha ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo fulani,huwa imejiridhirisha kwamba vigezo vyote vimezingatiwa.
Hii sijawahi kuisikia kabla
 
Majibu ya kindezi haya.. wizara ya mazingira ipo wapi? Wizara ya ujenzi ipo wapi?
Ukistaajabu ya Musa,

Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.

Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?

Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?

======

UPDATES: 18 Nov 2022

======

UFAFANUZI KUTOKA MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI (EWURA)

Kituo kimejengwa kwenye road reserve kwa makubalino ya kisheria na utaratibu baina ya wamiliki na TANROADS

Hivyo,EWURA inapotoa kibali cha ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo fulani,huwa imejiridhirisha kwamba vigezo vyote vimezingatiwa.
 
Hiyo pesa hata haiendi tanroad.. kuna jamaa huko mbeya nimeambiwa ametumia mil 24 kupata kibali cha kujenga sheli ambacho hutolewa kwa tsh laki 240
Yule amepanga eneo la Tanroad kwa muda fulani, anawalipa Tanroad hela, siku wakitaka tumia eneo anapewa notice anaondoka bila kudai chochote
 
Eneo lile halitakiwi kuwa na kituo cha mafuta
Upo utaratibu unapanga kwa tanroad unawalipa wao.
Hivo vituo vyte unaona vimesimama wameshindwa masharti.
Mfano hai cha SuCa kile. Mmiliki alikua bwana mmoja judge wa zamani kidogo, yeye inaonekana kagoma kupanga maana eneo ni lake long time. Hawezi panga na kufawana mzgo na tanroad. Wapo wa temboni. Wapo ambao wao wameona potelea pote. Wapo walioona wanunue maeneo wajenge nje ya hifadhi mfano ni stopover upande wa pili na kwamsuguri.. rupees hawajawa na presha ya masharti.
 
Enyi vigogo mnapoamua kufanya jambo fulani tumieni hekima msitumie mabavu fuateni sheria msijiweke juu ya sheria msifanye ndivyosivyo upenuni mwa umma, msiwe wavunja sheria namba moja.
 
Hiyo pesa hata haiendi tanroad.. kuna jamaa huko mbeya nimeambiwa ametumia mil 24 kupata kibali cha kujenga sheli ambacho hutolewa kwa tsh laki 240
Anajua itarudi
 
Ukistaajabu ya Musa,

Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.

Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?

Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?

======

UPDATES: 18 Nov 2022

======

UFAFANUZI KUTOKA MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI (EWURA)

Kituo kimejengwa kwenye road reserve kwa makubalino ya kisheria na utaratibu baina ya wamiliki na TANROADS

Hivyo,EWURA inapotoa kibali cha ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo fulani,huwa imejiridhirisha kwamba vigezo vyote vimezingatiwa.
Apostle Kuna muujiza
 
Kimeshaanza kazi.
Nakazia na picha

Ova
20230103_171807.jpg
 
Mtu wa brela humu atusaidie kujua jina la mmliki wa kituo. Unaweza kukuta shamba la bwana heri.

Tatizo sheria iliyotumika kubomoa nyumba za wakazi wa kimara ni sheria ya TANZANIA HIGHWAY ORDINANCE OF 1945.

Mpangaji hana kosa Mkurugenzi wa TANROADS hana analolijua. Ila wanasisa wetu na wanaharakati wao hili hawalioni isipokuwa maridhiano ya kuzuia tumbo lisitetemeshwe na mwili. Sufuria hata likiwa safi kiasi gani hata liwe jipya, likiwekwa kitandani ni uchafu.
 
Kipindi kimefika sasa barabara zipishe sheli na makazi ya watu sio makazi ya watu, sheli zipishe bara bara... mambo yanabadilika jamani
 
Hatimaye kamati ya kudumu ya bunge imeamrisha kituo kivunjwe, je ni sahihi??
 
Back
Top Bottom