HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Haziko kwenye reserveHata hzi sheli za adimiral zinajengwa barabaran sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haziko kwenye reserveHata hzi sheli za adimiral zinajengwa barabaran sana
Ukistaajabu ya Musa,
Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.
Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?
Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?
Wapige na highway mall kabisa maana kwa tunakoelekea hata mi naweza kwenda kukodi reserve ya road nikajenga highway pubIle barabara Unyama uliofanyika we acha tu..yaani barabara imecover 20m..bomoa bomoa ilienda 122m kila upande. Ule ukatili sio wa sayari hii.Sasa leo wenyewe wameanza kula matapishi yao. Kwa haraka haraka hicho kituo, ni cha kupima upepo tu..vingi vitajengwa na wenye mapembe toka kimara mpaka kiluvya. Kwani ninani atawakataza? Zama zilee zilipita...!!
Tanroad Imeanza Ujanjaujanja Wa Kuipangisha Barabara YoteWamepanga TANROAD
Nimepita pale Client ni Tanroads na Henry.Yaweza kuwa ni cha TPDC
Henry yupi?Nimepita pale Client ni Tanroads na Henry.
Januari makamba hicho chawa wa mamaUkistaajabu ya Musa,
Katika hali ya kushangaza sana kuna kituo kipya cha mafuta kinajengwa kando ya barabara maeneo ya Stop over Kimara. Hii imekuja baada ya vituo vingine vyote kufungwa kwa sababu ileile ya kuwa vipo ndani ya hifadhi ya barabara, ila cha ajabu hiki kituo kipya kinachoitwa Rupeez Oil ndio kipo jirani zaidi ya barabara.
Je, ni nani alieruhusu huu ujenzi? Mbona mbele kidogo tu ya hicho kituo kuna sheli nyingine ilifungwa na hadi leo haijaruhusiwa? Vituo kama vinne hadi kufika pale Mbezi kwa Yusuf mbona vyote vilifungwa imekuaje hawajaruhusiwa na kwanini hiki kituo kipya kinajengwa tena bila aibu?
Au ndio zama za double standards zinarudi kwa kasi?
======
UPDATES: 18 Nov 2022
======
UFAFANUZI KUTOKA MAMLAKA YA UDHIBITI WA HUDUMA ZA NISHATI NA MAJI (EWURA)
Kituo kimejengwa kwenye road reserve kwa makubalino ya kisheria na utaratibu baina ya wamiliki na TANROADS
Hivyo,EWURA inapotoa kibali cha ujenzi wa kituo cha mafuta katika eneo fulani,huwa imejiridhirisha kwamba vigezo vyote vimezingatiwa.
Acha kunifuatilia aise kama wewe haupo kwenye foleni ya kulamba asali shauri yako.
Sijui Henry yupi ameandikwa kwa jina moja hivyohivyo.Henry yupi?
Kinachosikitisha pale kulikuwa na nyumba moja kati ya zile zilizobomolewa islsikuwa ni ya Mzee mmoja hivi . Yule mzee mwenye nyumba alikuwa mzee wa umri mkubwa. Magu alizibomoa akapalalaizi then akafa. Nilikuwa napita na kukaa sana yale maeneo.Pale pale kinapojengwa kile kituo palikua na nyumba ya mtu, ILIBOMOLEWA na serikali hii hii sikifu ya CCM. Leo hii serikali hii hii inampa mtu wake wa ndani kabisa leseni pale pale afanye biashara.
Malipo Ni hapa hapa.
Nipo nalamba asalii tu wengine wananifuatilia maisha yangu🤣🤣🤣 Upwo?