Changer 22
Member
- Jul 29, 2022
- 11
- 5
Nimetafakari sana juu ya hali ya wafanyakazi wanaofanya kazi katika kampuni na mashirika mengi yanayoendeshwa na Wahindi na kugundua kuwa kuna vitu havipo sawa, hasa kwenye ngazi za kiutendaji.
Kuanzia kariakoo mpaka sehemu nyingine nchini asilimia kubwa ya wafanyakazi huwa hawapewi mikataba yao kwa wakati, mazingira ya utendaji kazi kwao ni magumu na vikwazo vingi ambavyo humfanya mtu ashindwe kufanya kazi.
Uchunguzi juu ya hali ya wafanyakazi katika kampuni na mashirika yanayoendeshwa na wahindi uchunguze hali ya wafanyakazi hasa wazawa. Siyo wote wana tabia za kuwanyanyasa wafanya kazi ila idadi kubwa sana hunyanyaswa kwa matamshi yasiyofaa kutoka kwa waajiri wao.
Kuanzia kariakoo mpaka sehemu nyingine nchini asilimia kubwa ya wafanyakazi huwa hawapewi mikataba yao kwa wakati, mazingira ya utendaji kazi kwao ni magumu na vikwazo vingi ambavyo humfanya mtu ashindwe kufanya kazi.
Uchunguzi juu ya hali ya wafanyakazi katika kampuni na mashirika yanayoendeshwa na wahindi uchunguze hali ya wafanyakazi hasa wazawa. Siyo wote wana tabia za kuwanyanyasa wafanya kazi ila idadi kubwa sana hunyanyaswa kwa matamshi yasiyofaa kutoka kwa waajiri wao.