MZALENDOWAKWELIKWELI
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 331
- 210
Sikulaumu kwa uelewa wa kujua hali halisi ya namna Mfuko unavyoelemewa na madai ya mahospitali yanayolipwa na NHIF pindi wewe na wachangiaji wengine mnapoenda kutibiwa...Bima ya Afya ya NHIF ni Majanga na Mateso makubwa. Sasa wewe bora uko na monthly contributions. Vile Vifurushi binafsi ndiyo majanga makubwa. Aliyevipitisha ninafikiri si Mtanzania maana kwa hali zetu asingepanga hivyo. Nina waziwazi wafanye maamuzi huko NHIF watakuwa ni either Warundi au Wanyarwanda. Bima hii kwa huduma mbovu nimeamua kwa moyo mmoja nikiwa mwana CCM lakini nitampigia kura Tindu Lissu maana kipaumbele chake ni kuondoa kero za Bima ya afya.
Ninayeweza kumlaumu ni mtunga mitaala ya elimu zetu kutoweka topic za masuala ya bima ili kila aliyehitimu angekuwa na uelewa na mwammko wa kujiunga na mfuko ili kiasi cha kuchangia kishuke.
Kwa sasa kinachochangiwa na wanachama ni kidogo ukilinganisha kinachotumiwa na waliougua.
Watanzania wengi wanakumbuka bima wakiumwa, hawakumbuki wakiwa wazima...hili ndo tatizo kubwa kiongozi...tusaidiane kutoa elimu