Kwanini kuwa na mahusiano ya kimapenzi kazini mara nyingi huwa hakuepukiki?

Kwanini kuwa na mahusiano ya kimapenzi kazini mara nyingi huwa hakuepukiki?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Nimekuwa nikisoma na kufuatilia baadhi ya visa vya kweli katika vitabu na mitandao ya kijamii vinavyohusu mahusiano na ndoa kuvunjika na moja ya sababu zinazosababisha kutokea hayo ni Mahali pa kazi.

Wake kwa waume wamekuwa wakilalamika kuachwa na mtu wake kwa sababu ya mfanyakazi mwenzie.

Kitu kingine ni ajira za mbali.
Mfano Baba yuko mkoa mwingine na mama yuko mkoa mwingine wakifanya kazi basi utaambiwa Baba alianza kuishi na mfanyakazi mwenzie wa kike na ndoa ikaanza kuyumba.

Lakini pia Boss kuamua kuchukua mke wa mtu kwa kutumia cheo chake au mmoja tamaa za pesa zimemponza.

Vilevile nimegundua kuwa sehemu za kazi watu wanakaa muda mrefu kuliko sehemu nyingine. Na kama mahusiano yameyumba hii inaweza kuwa ni sababu mojawapo.

Sababu nyingine ni zipi?
 
Umalaya tu na kukosa msimamo
Hata huyo aliyepatana kazini siku mmoja akihamia ofisi ama kampuni nyingine mambo huwa yaleyale
Hapo Kwa wanandoa Kuna kulinda cheo/tamaa hasa Kwa wanawake,Kwa wanaume ni tamaa zaidi,Kila sketi mpya ikipita anayo kulinda title ni 10%
 
Umalaya tu na kukosa msimamo
Hata huyo aliyepatana kazini siku mmoja akihamia ofisi ama kampuni nyingine mambo huwa yaleyale
Hapo Kwa wanandoa Kuna kulinda cheo/tamaa hasa Kwa wanawake,Kwa wanaume ni tamaa zaidi,Kila sketi mpya ikipita anayo kulinda title ni 10%
Watu wanaumizana sana akija mwingine huyu anaachwa
 
Kazini 😅
Ndio kazinii tenaa nione kazin kwangu npo na mke wa mtuu🤪
FB_IMG_1720634920815.jpg
 
Back
Top Bottom