Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Mapenzi kazini yanapunguza utendaji kazi na uwajibikaji alafu baadae huwa aibu ni jambo la ukosefu wa maadili kwa upande Fulani maana hakuna kuwajibishana kila MTU ana kuwa kambare
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,hakuna cha sisi weusi Wala wao weupeeSababu kubwa ni wanawake wa kiafrika,kwanza wana njaa tamaa kama zote.Na baadhi ya sisi Wanaume nao akili zetu kama Wanawake unajua fika x ni Mke wa Mtu lakini mtu kakomaa hivyo hivyo.
Wenzetu walisaharabika haya mambo yamepungua sana,lakini huku ndio fashion.
😅Mkuu,hakuna cha sisi weusi Wala wao weupee
Yapo kote kote haya, kama bill Clinton alimkula secretary wake ,Anord Schwarzenegger alizaa na house maid wake , unataka kusemaje labda
Hizi tabia zipo kote kote , haijalishi mweusi au mweupe