Kwanini kuwa na mahusiano ya kimapenzi kazini mara nyingi huwa hakuepukiki?

Kwanini kuwa na mahusiano ya kimapenzi kazini mara nyingi huwa hakuepukiki?

Sababu kubwa ni wanawake wa kiafrika,kwanza wana njaa tamaa kama zote.Na baadhi ya sisi Wanaume nao akili zetu kama Wanawake unajua fika x ni Mke wa Mtu lakini mtu kakomaa hivyo hivyo.
Wenzetu walisaharabika haya mambo yamepungua sana,lakini huku ndio fashion.
😅tamaa
 
Mapenzi kazini ni sawa na mapenzi na mpangaji mwenzako katika nyumba moja. Mwisho huwa ni aibu na fedheha na wakati mwingine huingilia ufanisi wa kazi. Bahati mbaya wengi wao huishia kuachana. Sio jambo zuri.
 
Nimekuwa nikisoma na kufuatilia baadhi ya visa vya kweli katika vitabu na mitandao ya kijamii vinavyohusu mahusiano na ndoa kuvunjika na moja ya sababu zinazosababisha kutokea hayo ni Mahali pa kazi.

Wake kwa waume wamekuwa wakilalamika kuachwa na mtu wake kwa sababu ya mfanyakazi mwenzie.

Kitu kingine ni ajira za mbali.
Mfano Baba yuko mkoa mwingine na mama yuko mkoa mwingine wakifanya kazi basi utaambiwa Baba alianza kuishi na mfanyakazi mwenzie wa kike na ndoa ikaanza kuyumba.

Lakini pia Boss kuamua kuchukua mke wa mtu kwa kutumia cheo chake au mmoja tamaa za pesa zimemponza.

Vilevile nimegundua kuwa sehemu za kazi watu wanakaa muda mrefu kuliko sehemu nyingine. Na kama mahusiano yameyumba hii inaweza kuwa ni sababu mojawapo.

Sababu nyingine ni zipi?
Sijawahi pata mtu sehemu nayofanyia kazi, na fail wapi Mimi huyu jamani
 
Ndio kazinii tenaa nione kazin kwangu npo na mke wa mtuu🤪View attachment 3061478
Kuna mke wa mtu kazini huwa namkumbatia mboo ikinidinda namwambia tayari signal strength ni strong bas namsogeza nampakata huku nimedinda namuuliza unaisikia anasema eeeh hapo yuko makini kuangalia kwenye kioo kama kunamtu anakuja anasema flani anakuja namuachia,

Hakatai nisimbambie ila yeye anacho jali watu tu wasituone, kuna siku nilitaka nimshike tako niliminye kidogo nikaona sio poa kumshika makalio bila ridhaa yake, hapo nimemkumbatia zero distance huku nimekaa yeye kasimama nikamuambia sorry naomba nikushike kidogo¿

akauliza wapi? mimi hata sikujibu ila nikatelezesha mikono kwenye traako laini halafu nika click kidogo akaguna mmmhhh nika muuliza nini? akasema ah..ah... nika minya tena kidogo halafu nimukachia tukaendelea na kazi.
 
Kuna mke wa mtu kazini huwa namkumbatia mboo ikinidinda namwambia tayari signal strength ni strong bas namsogeza nampakata huku nimedinda namuuliza unaisikia anasema eeeh hapo yuko makini kuangalia kwenye kioo kama kunamtu anakuja anasema flani anakuja namuachia,

Hakatai nisimbambie ila yeye anacho jali watu tu wasituone, kuna siku nilitaka nimshike tako niliminye kidogo nikaona sio poa kumshika makalio bila ridhaa yake, hapo nimemkumbatia zero distance huku nimekaa yeye kasimama nikamuambia sorry naomba nikushike kidogo¿

akauliza wapi? mimi hata sikujibu ila nikatelezesha mikono kwenye traako laini halafu nika click kidogo akaguna mmmhhh nika muuliza nini? akasema ah..ah..ah nika minya tena kidogo halafu nimuachia tukaenfelea na kazi.
Watu wa hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom