min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sawa mkuu nitarekebisha hilo usijališni muhimu zaidi ungeongea maini machache ya maana sasa gentleman kwa faida ya wadau wa JF, badala ya kuelezea kongongoro na supu ya kichwa š
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu nitarekebisha hilo usijališni muhimu zaidi ungeongea maini machache ya maana sasa gentleman kwa faida ya wadau wa JF, badala ya kuelezea kongongoro na supu ya kichwa š
Yes,Sawa mkuu nitarekebisha hilo usijališ
Shoga hapo nani kati ya Lissu na Mbowe?Hivi wewe ni ke au me? Swali gani la kishoga hili unaleta kwa gt? Chuki yako kwa Lissu imevuka mipaka.
Aendelee kuwa na aibu kwa maneno ya hovyo kwa Mheshimiwa Mbowe?Lisu kamatia hapohapo usiachie uvccm na chawa wa sultan usingizi hauji
Sababu anaona akimtizama machoni mbowe ataona kuwa ana mkebehi sababu ya lile jicho lake jingine kengeza. Watu wengi makengeza huwa hawapendi kuangaliwa usoni wanakasirika.Zipo picha kadhaa ila hii ni kielelezo tosha. View attachment 3198658
šššKabisa aiseeWabongo wapigie ngoma staili za sebena watazitafuta...šš
Ila chuki zako kwa Mbowe ndiyo zitampa kura LissuChuki zenu kwa Lissu haziwezi kuwafanya wana Chadema wenyewe wasimpe kura.
Sababu anaona akimtizama machoni mbowe ataona kuwa ana mkebehi sababu ya lile jicho lake jingine kengeza. Watu wengi makengeza huwa hawapendi kuangaliwa usoni wanakasirika.

Siwanasema ukimuua nyani usimtazame usoni au? š¤£š¤£š¤£Zipo picha kadhaa ila hii ni kielelezo tosha. View attachment 3198658
Lissu anafeel guilty sana mbele ya Mbowe.Siwanasema ukimuua nyani usimtazame usoni au? š¤£š¤£š¤£
ššShahidi Mshana Jr š
Lissu atachaguliwa na wajumbe wa mkutano mkuu,na nyie maccm kumshabikia Mbowe ndiyo mnazidi kumharibiaIla chuki zako kwa Mbowe ndiyo zitampa kura Lissu
Sioni kama anaangalia chini. Naijua photography, hapo kuna jambo lililoingilia hisia za kila mmoja kucheka kwa namna ya asili ya kila mtu ktk wote watatu. Don't speculate.Zipo picha kadhaa ila hii ni kielelezo tosha. View attachment 3198658
Tumshauri awe anaangalia juu.Zipo picha kadhaa ila hii ni kielelezo tosha. View attachment 3198658
Yule mganga wake alimwambia Mbowe si mtu wa kawaida, kachanjwa mpaka sehemu zisizo chanjika hivyo akimuangalia tu usoni anaweza kugeuka na kuwa nzi ama mdudu,,,,asimuamini hata kidogo.Zipo picha kadhaa ila hii ni kielelezo tosha. View attachment 3198658
Mbowe ndiyo alimgeuka Lisu walikubaliana kila mmoja agombee alipo lakini mbowe akamchomeka wenje Dalali kienyeji tuunafiki na usaliti ni kitu mbaya sana gentleman,
we cheki hiyo smile yake yenyewe ilivyo ya kimbwa mwitu![]()
Mbowe huficha bunduki ndani ya soxUnataka aangalie wapi?
Ni mwongozo tu wa mchawi wakeZipo picha kadhaa ila hii ni kielelezo tosha. View attachment 3198658
Alikusaliti nini?Lissu MNAFIKI sana na SNITCH ndiyo maana hawezi kumuangalia Mbowe usoni.
Dhambi ya USALITI kwa mtu aliyeoloa maisha yake baada ya kuoigwa risasi 16 inamtafuna