Kwanini Lissu akikutana na Mbowe huangalia chini?

ni muhimu zaidi ungeongea maini machache ya maana sasa gentleman kwa faida ya wadau wa JF, badala ya kuelezea kongongoro na supu ya kichwa ๐Ÿ’
Sawa mkuu nitarekebisha hilo usijali๐Ÿ˜Š
 
unafiki na usaliti ni kitu mbaya sana gentleman,

we cheki hiyo smile yake yenyewe ilivyo ya kimbwa mwitu
Mbowe ndiyo alimgeuka Lisu walikubaliana kila mmoja agombee alipo lakini mbowe akamchomeka wenje Dalali kienyeji tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ