Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Wakuu,
Ni ipi sababu ya muhimu sana kiasi kwamba mabasi makubwa huwekwa kwenye silencer muda mrefu sana hata masaa mawili,kwa mfano gari inaweza kuwa inaondoka SAA 1.00 kamili asubuhi lakini tangu saa 12.00 asubuhi inakuwa imewashwa.
Je sio matumizi mabaya ya mafuta?au kuna sababu ya kiufundi zaidi?
Kwanini isiwashwe dakika 5 au kumi kabla ya kuanza safari?
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ipi sababu ya muhimu sana kiasi kwamba mabasi makubwa huwekwa kwenye silencer muda mrefu sana hata masaa mawili,kwa mfano gari inaweza kuwa inaondoka SAA 1.00 kamili asubuhi lakini tangu saa 12.00 asubuhi inakuwa imewashwa.
Je sio matumizi mabaya ya mafuta?au kuna sababu ya kiufundi zaidi?
Kwanini isiwashwe dakika 5 au kumi kabla ya kuanza safari?
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app