Kwanini Mabasi makubwa huwekwa silencer kwa muda mrefu sana?

Kwanini Mabasi makubwa huwekwa silencer kwa muda mrefu sana?

Mkuu unazo nyuzi zozote ulizobandika kuhusu mada za magari? Nahitaji kuzipitia nitag
Muda wa kufanya warm up hautakiwi kuzidi dk 10 kama air presure iko sawa ,
Wanachofanya hao wenye basi kungurumisha engine zaidi ya masaa mawili ni uharibifu tu wa engine
Diesel engine hasa hizi kubwa huwa piston inakuwa lubricated kupitia oil nozzle iliyopo chini ya crankcase , to the best of my knowlede , kunakua na very litlle au nil piston lubrication , wakati engine ikiwa silencer( idling). Kwa maana hiyo manufacure wengi hawashauri sana long time idling , sababu ya premature wearing of piston due to insufficient lubricants

Muda pekee unaoshauriwa ku idle diesel engine , (turbocharged only) ni pale unaposimama baada ya kufanya kazi ngumu, mathalan ukipanda milima mkali halafu ukalazimika kusimama , basi inashauriwa kusubiri dk 5 ili kuruhusu turbo ambayo ilikuwa ina mizunguko karibia 200000 per min, ipunguze mizunguko yake kuwa kawaida huku iki enjoy lubrication kutoka kwenye oil pump, unapozima engine wakati turbo ipo red hot jumlisha mizunguko mikali, utasababisha turbo izunguke baadhi ya rotation ikiwa kavu maana unapozima engine na oil pump inasimama muda huo huo.

Kwa gari ndogo za petrol, non turbocharged diesel engine hakuna sababu ya ku idle , hata kama umetoka safari ya mbali , mana katika hali ya kawaida , engine huwa inakuwa inaoperate at a certain temperature ambayo mara nyingi inakuwa constant.






Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
P ni gia sio gia?
Sio kweli mkuu..huwezi washa gari na kuanza safari hapo hapo..hata sheria mafunzo ya udereva hayafunzi hivyo..utaambiwa pima oil cheki maji kwenye rejeta then washa gari wakati inaunguruma unafanya ukaguzi wa vitu vingine vidogo vidogo kama upepo kwenye tyre,taa n.k.

Kwanza lazima uwasha gari na kuiacha ikiunguluma kabla ya kuanza safari ili kwanza ipandishe oil then ndio uanze safari ndio taratibu zilivyo..sio gari unawasha na kuweka gia nakuondoka hapana sio kweli utaua engine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo umeuliza kwa kejeli!!!

Haichukui hata sekunde 30 kabla ya oil haijasambaa engine nzima , by the time taa ya oil imezima , oil inakuwa ilishafika kila sehemu ya engine
Scenario ya oil kupata moto , haikubaliki na engine manufacure yeyote , maana ndipo majanga yanapoanzia , engine nyingi zina oil cooler , lengo likiwa ni kuifanya oil iwe katika temperature sawa na coolant (maji)



Sent using Jamii Forums mobile app
Kama oil haitakiwi kupata joto kuna maana gani kuwa ma multigrade oil kama 20W50

Sina muda sana wa kuandika ila usidanganye umma kuwa oil ina warm up ndani ya 30 secs. Please.
 
Asante kwa maelezo lakini naona kama muda mrefu sana huo,dakika 20 kweli hazitoshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachofanya gari likae silence mda mrefu wa asubuhi ni uwezo wake wa kujaza upepo kama lina tatizo katika mfumo wa upepo. Kwa gari lisilokua na tatizo uhitaji kuachwa silence hadi lifikie normal running temperature ambayo huwa ni less than dk 10 zaidi ya hapo ni kucheza na mwarabu
 
Kama oil haitakiwi kupata joto kuna maana gani kuwa ma multigrade oil kama 20W50

Sina muda sana wa kuandika ila usidanganye umma kuwa oil ina warm up ndani ya 30 secs. Please.
Wapi nimesema oil in warm up ndani ya 30 secs?,
Nani anadanganya umma kati yetu?

Sent from my Lenovo L38041 using Tapatalk
 
Kinachofanya gari likae silence mda mrefu wa asubuhi ni uwezo wake wa kujaza upepo kama lina tatizo katika mfumo wa upepo. Kwa gari lisilokua na tatizo uhitaji kuachwa silence hadi lifikie normal running temperature ambayo huwa ni less than dk 10 zaidi ya hapo ni kucheza na mwarabu
Asante sana !

Sent from my Lenovo L38041 using Tapatalk
 
Kinachofanya gari likae silence mda mrefu wa asubuhi ni uwezo wake wa kujaza upepo kama lina tatizo katika mfumo wa upepo. Kwa gari lisilokua na tatizo uhitaji kuachwa silence hadi lifikie normal running temperature ambayo huwa ni less than dk 10 zaidi ya hapo ni kucheza na mwarabu
Nimekupata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom