Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ABC wako vizuri sana kwa huduma na wanajali muda.JMC Pia yuko vizuri mbona ngoja this timw nipande hii Gari nionje hiyo Radha wanayoisifu watu.
Ili kuwahadaa abiria kwamba chombo kimewashwa kinaondoka muda si mrefu
OP kabisaDuniani huko wameshaanza kutumia magari ya umeme. Sisi ndio kwanza tuna "convert" yatumie gas! Khaaa!
Maisha ya mwanadamu hayana thamani Kama hayako salamaHilo la mafuta wamalize tu, mimi najali gari iwe salama na nisafiri salama na kufika salama.
Kwa tajiri uhai wa watu sio kipaumbele, faida ndio mpango mzima kwaoMaisha ya mwanadamu hayana thamani Kama hayako salama
Sawa tujadili mada yako ya Awali ila Nashauri iende pamoja na Mada ya Matangazo maana picha uliyoweka ni ya Bus kali lenye huduma nzuriHa ha mkuu,sina sababu yoyote ya kuitangaza ABC nimeamua kutumia kama mfani tu japo mimi pia ni mteja wa kawaida tu kwakua hua naitumia mara kwa mara kwa safari za Singida.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Ili kuwahadaa abiria kwamba chombo kimewashwa kinaondoka muda si mrefu
basi za kichina izo hazitabiriki, lazima utesti mitambo mapema mno,
wakati zile za Msweden unawasha na kuondoka
Saa zima basi inawaka mafuta lazima yapungue tuMwifwa my super doctor, madereva wetu hawako professional and well trained, wanamaliza mafuta bure tuuu
Yote Sawa ila pia abiria wa Tz wabishi Sana, hakuna abiria Yuko comfortable kupanda gari iko off ....
Wakiona imezima wanazani haiendi.
Warm up, oil ifike joto linalotakiwa ili iflow vizuri ili vyuma vya kwenye engine visisagane.
Kujaza upepo kwny mifumo ya breki pia
Sawa tujadili mada yako ya Awali ila Nashauri iende pamoja na Mada ya Matangazo maana picha uliyoweka ni ya Bus kali lenye huduma nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app