Kwanini Mabasi makubwa huwekwa silencer kwa muda mrefu sana?

Kwanini Mabasi makubwa huwekwa silencer kwa muda mrefu sana?

Muda wa kufanya warm up hautakiwi kuzidi dk 10 kama air presure iko sawa ,
Wanachofanya hao wenye basi kungurumisha engine zaidi ya masaa mawili ni uharibifu tu wa engine
Diesel engine hasa hizi kubwa huwa piston inakuwa lubricated kupitia oil nozzle iliyopo chini ya crankcase , to the best of my knowlede , kunakua na very litlle au nil piston lubrication , wakati engine ikiwa silencer( idling). Kwa maana hiyo manufacure wengi hawashauri sana long time idling , sababu ya premature wearing of piston due to insufficient lubricants

Muda pekee unaoshauriwa ku idle diesel engine , (turbocharged only) ni pale unaposimama baada ya kufanya kazi ngumu, mathalan ukipanda milima mkali halafu ukalazimika kusimama , basi inashauriwa kusubiri dk 5 ili kuruhusu turbo ambayo ilikuwa ina mizunguko karibia 200000 per min, ipunguze mizunguko yake kuwa kawaida huku iki enjoy lubrication kutoka kwenye oil pump, unapozima engine wakati turbo ipo red hot jumlisha mizunguko mikali, utasababisha turbo izunguke baadhi ya rotation ikiwa kavu maana unapozima engine na oil pump inasimama muda huo huo.

Kwa gari ndogo za petrol, non turbocharged diesel engine hakuna sababu ya ku idle , hata kama umetoka safari ya mbali , mana katika hali ya kawaida , engine huwa inakuwa inaoperate at a certain temperature ambayo mara nyingi inakuwa constant.






Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli mkuu kwa upande wa gari ndogo au hata kubwa naelewa ukitoka safari lazima uiache kwa muda Fulani kabla ya kuzima ila hapa nazungumzia mabasi ambayo wakati mwingine yameanzia safari hapo na inawezekana siku ya jana yake ndio yalisafiri

Sent using Jamii Forums mobile app
Gari ndogo kama ni non turbocharged , hata kama umetoka umbali wa km 1000, ukifika we zima tu hakuna madhara yeyote , unless kama uliposimama temperature gauge inaunekana kustuka beyond normal (adimu sana kama thermostat ipo vizuri) hapo ndo unashauriwa kusubiri hadi temperature gauge ikae sawa .

Turbo charged engine pia kuna muda unaeza kusimama na kuzima , kutegemeana na simple calculations, mathalan kama umetoka morogoro kuja dar , ukakimbizana huko , halafu ukajikuta upo kimara au ubungo kwenye foleni , manake ni kuwa hilo zoezi la kupoza turbo ,litafanyika we ukiwa umeganda kwenye foleni, na utakapofika destination yako huna haja ya ku idle tena maana tayari turbo ilishakuwa kwenye mizunguko ya kawaida ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Warm up, oil ifike joto linalotakiwa ili iflow vizuri ili vyuma vya kwenye engine visisagane.

Kujaza upepo kwny mifumo ya breki pia
Hakuna kitu kinaitwa warm up kwa engine za miaka hii, labda uzungumzie za miaka hiyo, siku hizi engine nyingi ni low rev philosophy, yaan maxmum torque at 1300 rpm ,

Ukiniambia mfumo wa upepo nitakuelewa , napo pia kwa basi ya abiria ambayo haivutii trela inatakiwa ndani ya dk 10 iwe full pressured

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa maelezo ila ndio Mara ya kwanza nasikia kwamba unaweza kuzima gari hapo hapo baada ya kutoka safari ndefu,maana tunaambiwa tusubiri sijui engine oil ishuke nk
Gari ndogo kama ni non turbocharged , hata kama umetoka umbali wa km 1000, ukifika we zima tu hakuna madhara yeyote , unless kama uliposimama temperature gauge inaunekana kustuka beyond normal (adimu sana kama thermostat ipo vizuri) hapo ndo unashauriwa kusubiri hadi temperature gauge ikae sawa .

Turbo charged engine pia kuna muda unaeza kusimama na kuzima , kutegemeana na simple calculations, mathalan kama umetoka morogoro kuja dar , ukakimbizana huko , halafu ukajikuta upo kimara au ubungo kwenye foleni , manake ni kuwa hilo zoezi la kupoza turbo ,litafanyika we ukiwa umeganda kwenye foleni, na utakapofika destination yako huna haja ya ku idle tena maana tayari turbo ilishakuwa kwenye mizunguko ya kawaida ,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yutong sawa ila zoungtong hapana. Hawa hata basi likisimama dk wanaxima. I think [emoji848] type of engine and its specifications
Wakuu,

Ni ipi sababu ya muhimu sana kiasi kwamba mabasi makubwa huwekwa kwenye silencer muda mrefu sana hata masaa mawili,kwa mfano gari inaweza kuwa inaondoka SAA 1.00 kamili asubuhi lakini tangu saa 12.00 asubuhi inakuwa imewashwa.

Je sio matumizi mabaya ya mafuta?au kuna sababu ya kiufundi zaidi?

Kwanini isiwashwe dakika 5 au kumi kabla ya kuanza safari?

Karibuni


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa maelezo ila ndio Mara ya kwanza nasikia kwamba unaweza kuzima gari hapo hapo baada ya kutoka safari ndefu,maana tunaambiwa tusubiri sijui engine oil ishuke nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Mafundi mitaani ni wengi sana , mkuu kitu pekee unaweza kuharibu kama umetoka kufanya kaz ngumu na kuzima gari , ni turbo tu!
Oil inashuka kwenye sample kwa gravity

Temperature huwa inakua constant, muda wote kupitia cooling system na thermostat, , yan kama kwenye fridge au aircon ukiset temperature flan system itajitahidi kuifanya iwe constant , the same applies kwenye magari thermostat huwa inafanya joto la engine liwe same muda mwingi, mdo mana hata uache idle temperature gauge itabaki kusoma pale pale hadi utakapozima chombo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yutong sawa ila zoungtong hapana. Hawa hata basi likisimama dk wanaxima. I think [emoji848] type of engine and its specifications

Sent using Jamii Forums mobile app
New force nfo huwa wanazima hata wakisimama kidogo tu, sio spec za engine , jamaa hawana desturi ya kukaa na mabasi muda mferu ndo mana wanafanya hivo , by the time turbo inazingua , basi walishaliuza

Kuna baadhi ya engine hasa hizi zenye( Vgt) kuna utaratibu wa separate electonic oil pump , ambayo huanza kazi mara baada ya kuzima engine ili kuisupport turbo mpaka itakapo simama

Vgt kwa kawaida huwa inakua kwenye mizunguko mikali immediately baada ya engine kuwa on, 1000 rpm ya engine , variable geometry turbocharger,(Vgt) huwa inakaribia 200000 rpm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muda wa kufanya warm up hautakiwi kuzidi dk 10 kama air presure iko sawa ,
Wanachofanya hao wenye basi kungurumisha engine zaidi ya masaa mawili ni uharibifu tu wa engine
Diesel engine hasa hizi kubwa huwa piston inakuwa lubricated kupitia oil nozzle iliyopo chini ya crankcase , to the best of my knowlede , kunakua na very litlle au nil piston lubrication , wakati engine ikiwa silencer( idling). Kwa maana hiyo manufacure wengi hawashauri sana long time idling , sababu ya premature wearing of piston due to insufficient lubricants

Muda pekee unaoshauriwa ku idle diesel engine , (turbocharged only) ni pale unaposimama baada ya kufanya kazi ngumu, mathalan ukipanda milima mkali halafu ukalazimika kusimama , basi inashauriwa kusubiri dk 5 ili kuruhusu turbo ambayo ilikuwa ina mizunguko karibia 200000 per min, ipunguze mizunguko yake kuwa kawaida huku iki enjoy lubrication kutoka kwenye oil pump, unapozima engine wakati turbo ipo red hot jumlisha mizunguko mikali, utasababisha turbo izunguke baadhi ya rotation ikiwa kavu maana unapozima engine na oil pump inasimama muda huo huo.

Kwa gari ndogo za petrol, non turbocharged diesel engine hakuna sababu ya ku idle , hata kama umetoka safari ya mbali , mana katika hali ya kawaida , engine huwa inakuwa inaoperate at a certain temperature ambayo mara nyingi inakuwa constant.






Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo mazuri sana,nimejifunza kitu kipya hapa,asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duniani huko wameshaanza kutumia magari ya umeme. Sisi ndio kwanza tuna "convert" yatumie gas! Khaaa!
Haah
IMG_20191217_111238.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naamini wanayawasha pia kwa ajili ya kuyaweka stand by kwa safari.
Engine inakuwa imeshachanganya. Safari ya takribani km 800 sio mchezo.
Alafu hata boti pia wanafanya hivyo.
Wanawasha mapema sanaa ukifika muda wa kuondoka fasta wanainua chuma.
Sio wasubiri watu wamejaa ndo wawashe vile ni vyombo vya moto vinaweza visiwake.
Unapowasha mapema unakua unajua kama chuma ipo Safi na safari ipo.
Ni kweli muungurumo unakuwa tofauti ila sidhani kama matatizo yote yanaweza unaweza kujua kupitia muungurumo kwa mfano kama baadhi ya gia haziingii itabidi ujaribu kwa kutembeza gari

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom