t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Muda wa kufanya warm up hautakiwi kuzidi dk 10 kama air presure iko sawa ,
Wanachofanya hao wenye basi kungurumisha engine zaidi ya masaa mawili ni uharibifu tu wa engine
Diesel engine hasa hizi kubwa huwa piston inakuwa lubricated kupitia oil nozzle iliyopo chini ya crankcase , to the best of my knowlede , kunakua na very litlle au nil piston lubrication , wakati engine ikiwa silencer( idling). Kwa maana hiyo manufacure wengi hawashauri sana long time idling , sababu ya premature wearing of piston due to insufficient lubricants
Muda pekee unaoshauriwa ku idle diesel engine , (turbocharged only) ni pale unaposimama baada ya kufanya kazi ngumu, mathalan ukipanda milima mkali halafu ukalazimika kusimama , basi inashauriwa kusubiri dk 5 ili kuruhusu turbo ambayo ilikuwa ina mizunguko karibia 200000 per min, ipunguze mizunguko yake kuwa kawaida huku iki enjoy lubrication kutoka kwenye oil pump, unapozima engine wakati turbo ipo red hot jumlisha mizunguko mikali, utasababisha turbo izunguke baadhi ya rotation ikiwa kavu maana unapozima engine na oil pump inasimama muda huo huo.
Kwa gari ndogo za petrol, non turbocharged diesel engine hakuna sababu ya ku idle , hata kama umetoka safari ya mbali , mana katika hali ya kawaida , engine huwa inakuwa inaoperate at a certain temperature ambayo mara nyingi inakuwa constant.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachofanya hao wenye basi kungurumisha engine zaidi ya masaa mawili ni uharibifu tu wa engine
Diesel engine hasa hizi kubwa huwa piston inakuwa lubricated kupitia oil nozzle iliyopo chini ya crankcase , to the best of my knowlede , kunakua na very litlle au nil piston lubrication , wakati engine ikiwa silencer( idling). Kwa maana hiyo manufacure wengi hawashauri sana long time idling , sababu ya premature wearing of piston due to insufficient lubricants
Muda pekee unaoshauriwa ku idle diesel engine , (turbocharged only) ni pale unaposimama baada ya kufanya kazi ngumu, mathalan ukipanda milima mkali halafu ukalazimika kusimama , basi inashauriwa kusubiri dk 5 ili kuruhusu turbo ambayo ilikuwa ina mizunguko karibia 200000 per min, ipunguze mizunguko yake kuwa kawaida huku iki enjoy lubrication kutoka kwenye oil pump, unapozima engine wakati turbo ipo red hot jumlisha mizunguko mikali, utasababisha turbo izunguke baadhi ya rotation ikiwa kavu maana unapozima engine na oil pump inasimama muda huo huo.
Kwa gari ndogo za petrol, non turbocharged diesel engine hakuna sababu ya ku idle , hata kama umetoka safari ya mbali , mana katika hali ya kawaida , engine huwa inakuwa inaoperate at a certain temperature ambayo mara nyingi inakuwa constant.
Sent using Jamii Forums mobile app