Na iringa dar ABC wameanza tar 14 nadhani mwezi huuABC Upper Class my favourite bus kwa safari za Dom, Singida kutoka Dar es Salaam.
Wadau tupeni jibu la hili swali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na iringa dar ABC wameanza tar 14 nadhani mwezi huuABC Upper Class my favourite bus kwa safari za Dom, Singida kutoka Dar es Salaam.
Wadau tupeni jibu la hili swali.
🤣🤣🤣
Nimechangia mada sijamjibu yeyote. Umeona nimem "quote" yeyote?
Hongera kwao kwa kupanua wigo wa huduma
AC mwanzo mwisho haina haja ya kufungua kiooHufungui kioo hiyo gari
Hakuna kitu kinaitwa warm up kwa engine za miaka hii, labda uzungumzie za miaka hiyo, siku hizi engine nyingi ni low rev philosophy, yaan maxmum torque at 1300 rpm ,
Ukiniambia mfumo wa upepo nitakuelewa , napo pia kwa basi ya abiria ambayo haivutii trela inatakiwa ndani ya dk 10 iwe full pressured
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo umeuliza kwa kejeli!!!Kwahiyo oil sikuhizi inapata moto ghafla tu bin vu chap ishalainika na ishasambaa katika engine nzima?
Muda wa kufanya warm up hautakiwi kuzidi dk 10 kama air presure iko sawa ,
Wanachofanya hao wenye basi kungurumisha engine zaidi ya masaa mawili ni uharibifu tu wa engine
Diesel engine hasa hizi kubwa huwa piston inakuwa lubricated kupitia oil nozzle iliyopo chini ya crankcase , to the best of my knowlede , kunakua na very litlle au nil piston lubrication , wakati engine ikiwa silencer( idling). Kwa maana hiyo manufacure wengi hawashauri sana long time idling , sababu ya premature wearing of piston due to insufficient lubricants
Muda pekee unaoshauriwa ku idle diesel engine , (turbocharged only) ni pale unaposimama baada ya kufanya kazi ngumu, mathalan ukipanda milima mkali halafu ukalazimika kusimama , basi inashauriwa kusubiri dk 5 ili kuruhusu turbo ambayo ilikuwa ina mizunguko karibia 200000 per min, ipunguze mizunguko yake kuwa kawaida huku iki enjoy lubrication kutoka kwenye oil pump, unapozima engine wakati turbo ipo red hot jumlisha mizunguko mikali, utasababisha turbo izunguke baadhi ya rotation ikiwa kavu maana unapozima engine na oil pump inasimama muda huo huo.
Kwa gari ndogo za petrol, non turbocharged diesel engine hakuna sababu ya ku idle , hata kama umetoka safari ya mbali , mana katika hali ya kawaida , engine huwa inakuwa inaoperate at a certain temperature ambayo mara nyingi inakuwa constant.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani huko wameshaanza kutumia magari ya umeme. Sisi ndio kwanza tuna "convert" yatumie gas! Khaaa!
Anza kwa kujisaidia wewe mwenyewe.
Sio kweli mkuu..huwezi washa gari na kuanza safari hapo hapo..hata sheria mafunzo ya udereva hayafunzi hivyo..utaambiwa pima oil cheki maji kwenye rejeta then washa gari wakati inaunguruma unafanya ukaguzi wa vitu vingine vidogo vidogo kama upepo kwenye tyre,taa n.k.Mwifwa my super doctor, madereva wetu hawako professional and well trained, wanamaliza mafuta bure tuuu
Kumbuka gari hiyo inakwenda kufanya safari ndefu ya masaa mengi sana na ikitoka hapo ni mpele mpela vurugu mechi bila kuzimwa non stop zaidi ya masaa 12..inatakiwa ikitoka hapo iwe isha pashwa vya kutosha coz inaingia kwenye shuluba na mchuano wa non stop panda shuka milima kama jua na mvua vyake..Wakuu,
Ni ipi sababu ya muhimu sana kiasi kwamba mabasi makubwa huwekwa kwenye silencer muda mrefu sana hata masaa mawili,kwa mfano gari inaweza kuwa inaondoka SAA 1.00 kamili asubuhi lakini tangu saa 12.00 asubuhi inakuwa imewashwa.
Je sio matumizi mabaya ya mafuta?au kuna sababu ya kiufundi zaidi?
Kwanini isiwashwe dakika 5 au kumi kabla ya kuanza safari?
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata hapa zipo za kutosha sana..sema changamoto kwenye vipuli hasa hasa HV BATTERY na hata wenye navyo bado changamoto kwenye bei bado nimzozo pia wanatandika sana bei juu..na changamoto nyingine mafundi ndio wanaziharibu na watumiaji pia ndio wauwaji namba moja..Duniani huko wameshaanza kutumia magari ya umeme. Sisi ndio kwanza tuna "convert" yatumie gas! Khaaa!
Uzi ufungwe.Yale yanakuwa na rotation kubwa kwenye engine na inasaidia oil kupanda kwa wakati kwenye mzunguko wake na kufanya engine kuwa nyepesi na tayari kuanza safari na baada ya mwendo mrefu wa safari sio gaei kubwa tuu hata ndogo unatakiwa gari hata kaa hujamaliza au kufika sshemu husika lakini ukasimama haitakiwa gari ulizime mda huo huo imatakiwa kuliacha kwa muda ili lipoe na oil ipoe kwa wakati
Ni kweliKwa waliopanda mabasi ya NEW FORCE na GOLDEN DEER haina ubishi kwamba hotelini Aljazeera zinazimwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anza kwa kujisaidia wewe mwenyewe.
Unataka kuwa "donor" wakati wewe mwenyewe ombaomba!
Kumbuka gari hiyo inakwenda kufanya safari ndefu ya masaa mengi sana na ikitoka hapo ni mpele mpela vurugu mechi bila kuzimwa non stop zaidi ya masaa 12..inatakiwa ikitoka hapo iwe isha pashwa vya kutosha coz inaingia kwenye shuluba na mchuano wa non stop panda shuka milima kama jua na mvua vyake..
Swali lako dogo sana ungekuwa dereva au fundi usingeliuliza.huwezi washa gari nakuanza kuitumia hapo hapo maspeed n.k utaua engine siku mbili tuu..
Hujawahi jiuliza kwanini wachezaji kabla hawajaingia uwanjani hasa mchezaji wa sab unakuta anaanza kupasha misuli moto na mwili akiwa nje ya uwanja??.
Si uliuliza swali? Au swali lako lilikuwa linahusiana na mada?