ABC Upper Class my favourite bus kwa safari za Dom, Singida kutoka Dar es Salaam.Wakuu,
Ni ipi sababu ya muhimu sana kiasi kwamba mabasi makubwa huwekwa kwenye silencer muda mrefu sana hata masaa mawili,kwa mfano gari inaweza kuwa inaondoka SAA 1.00 kamili asubuhi lakini tangu saa 12.00 asubuhi inakuwa imewashwa.
Je sio matumizi mabaya ya mafuta?au kuna sababu ya kiufundi zaidi?
Kwanini isiwashwe dakika 5 au kumi kabla ya kuanza safari?
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu,
Ni ipi sababu ya muhimu sana kiasi kwamba mabasi makubwa huwekwa kwenye silencer muda mrefu sana hata masaa mawili,kwa mfano gari inaweza kuwa inaondoka SAA 1.00 kamili asubuhi lakini tangu saa 12.00 asubuhi inakuwa imewashwa.
Je sio matumizi mabaya ya mafuta?au kuna sababu ya kiufundi zaidi?
Kwanini isiwashwe dakika 5 au kumi kabla ya kuanza safari?
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada umemjibu mtoa mada au umeona usipitweDuniani huko wameshaanza kutumia magari ya umeme. Sisi ndio kwanza tuna "convert" yatumie gas! Khaaa!
ABC Upper Class my favourite bus kwa safari za Dom, Singida kutoka Dar es Salaam.
Wadau tupeni jibu la hili swali.
Yale yanakuwa na rotation kubwa kwenye engine na inasaidia oil kupanda kwa wakati kwenye mzunguko wake na kufanya engine kuwa nyepesi na tayari kuanza safari na baada ya mwendo mrefu wa safari sio gaei kubwa tuu hata ndogo unatakiwa gari hata kaa hujamaliza au kufika sshemu husika lakini ukasimama haitakiwa gari ulizime mda huo huo imatakiwa kuliacha kwa muda ili lipoe na oil ipoe kwa wakati
Mkuu sio gari kubwa tuu..sio mabasi tuu hata gari ndogo pia wewe umezoea kuendesha town trip huwezi toka na gari dar to dodoma non stop ukafika ukaizima sio sawa kwa afya ya gari.. gari nyingi za disel haswa huwa na turbo huwezi tumia gari kwa mda mrefu ukafika na kuizima tuùuu unaweza ukaua engine mazima..lazima uiache ipoe kwanza taratibu ndio uizime..ndio maana kuna gari nyingine kama nissan patrol na landcruise zinafungwa turbo timer
JMC Pia yuko vizuri mbona ngoja this timw nipande hii Gari nionje hiyo Radha wanayoisifu watu.Tangazo lako zuri sana
Kwa wasioelewa ABC Upper Class sasa Wameielewa. Kiukweli wanatoa huduma Nzuri sana haina mfano kwa Route za Singida Haya kuna kampuni ya Ma Bus toka Dodoma ilivyojaribu kupeleka Bus Dar Singida pamoja na kushusha bei hawakufua Dafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duniani huko wameshaanza kutumia magari ya umeme. Sisi ndio kwanza tuna "convert" yatumie gas! Khaaa!
Mwifwa my super doctor, madereva wetu hawako professional and well trained, wanamaliza mafuta bure tuuuABC Upper Class my favourite bus kwa safari za Dom, Singida kutoka Dar es Salaam.
Wadau tupeni jibu la hili swali.
Tangazo lako zuri sana
Kwa wasioelewa ABC Upper Class sasa Wameielewa. Kiukweli wanatoa huduma Nzuri sana haina mfano kwa Route za Singida Haya kuna kampuni ya Ma Bus toka Dodoma ilivyojaribu kupeleka Bus Dar Singida pamoja na kushusha bei hawakufua Dafu
Sent using Jamii Forums mobile app