Kwanini Mabasi makubwa huwekwa silencer kwa muda mrefu sana?


Kwahiyo oil sikuhizi inapata moto ghafla tu bin vu chap ishalainika na ishasambaa katika engine nzima?
 
Kwahiyo oil sikuhizi inapata moto ghafla tu bin vu chap ishalainika na ishasambaa katika engine nzima?
Japo umeuliza kwa kejeli!!!

Haichukui hata sekunde 30 kabla ya oil haijasambaa engine nzima , by the time taa ya oil imezima , oil inakuwa ilishafika kila sehemu ya engine
Scenario ya oil kupata moto , haikubaliki na engine manufacure yeyote , maana ndipo majanga yanapoanzia , engine nyingi zina oil cooler , lengo likiwa ni kuifanya oil iwe katika temperature sawa na coolant (maji)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalau wewe ndiyo umejibu kitu kunachoeleweka. ..vizuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwifwa my super doctor, madereva wetu hawako professional and well trained, wanamaliza mafuta bure tuuu
Sio kweli mkuu..huwezi washa gari na kuanza safari hapo hapo..hata sheria mafunzo ya udereva hayafunzi hivyo..utaambiwa pima oil cheki maji kwenye rejeta then washa gari wakati inaunguruma unafanya ukaguzi wa vitu vingine vidogo vidogo kama upepo kwenye tyre,taa n.k.

Kwanza lazima uwasha gari na kuiacha ikiunguluma kabla ya kuanza safari ili kwanza ipandishe oil then ndio uanze safari ndio taratibu zilivyo..sio gari unawasha na kuweka gia nakuondoka hapana sio kweli utaua engine.
 
Kumbuka gari hiyo inakwenda kufanya safari ndefu ya masaa mengi sana na ikitoka hapo ni mpele mpela vurugu mechi bila kuzimwa non stop zaidi ya masaa 12..inatakiwa ikitoka hapo iwe isha pashwa vya kutosha coz inaingia kwenye shuluba na mchuano wa non stop panda shuka milima kama jua na mvua vyake..

Swali lako dogo sana ungekuwa dereva au fundi usingeliuliza.huwezi washa gari nakuanza kuitumia hapo hapo maspeed n.k utaua engine siku mbili tuu..

Hujawahi jiuliza kwanini wachezaji kabla hawajaingia uwanjani hasa mchezaji wa sab unakuta anaanza kupasha misuli moto na mwili akiwa nje ya uwanja??.
 
Duniani huko wameshaanza kutumia magari ya umeme. Sisi ndio kwanza tuna "convert" yatumie gas! Khaaa!
Mbona hata hapa zipo za kutosha sana..sema changamoto kwenye vipuli hasa hasa HV BATTERY na hata wenye navyo bado changamoto kwenye bei bado nimzozo pia wanatandika sana bei juu..na changamoto nyingine mafundi ndio wanaziharibu na watumiaji pia ndio wauwaji namba moja..

Sijisifu lkn kwabahati nzuri zote nilizokutana nazo nafurahi nilifanikiwa kuzitibu na kama hazikutengamaa bali nilifanikiwa kujua tatizo ni nn na solution yake ni nn?? Ingawa wenye nazo hawakuweza kugaramikia spea..
 
Uzi ufungwe.
 
Kwa waliopanda mabasi ya NEW FORCE na GOLDEN DEER haina ubishi kwamba hotelini Aljazeera zinazimwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli
New force na golden deer hawakai na bus muda mrefu , wanaziuza

Location ya aljazeera hotel ukitokea pande zote ,ni flat , engine temp huwa normal turbo kwa mazingira yale inakuwa haipo katika full boost , thus mizunguko kidogo ya ku relax hata ukizima engine damage inakua ni kidogo,
Lakini kama hao new force wangekua wanakula let's say bismilahi pale juu, ili wawe wanazima gari mara baada ya kupandisha kitonga,majibu wangeyapata mapema sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli gari inaenda safari ndefu lakini nilichouliza ni huko kupashwa muda mrefu,halafu kama umepitia post za baadhi ya wachangiaji utaona kuna wengine hawakubaliani na hilo suala labda kwa muda mfupi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…