Kwanini mabaunsa wengi ndiyo wamekuwa mashoga?

Kwanini mabaunsa wengi ndiyo wamekuwa mashoga?

Ukipita Kinondoni, Sinza, Tabata na viwanja mbalimbali utagundua kwamba mashoga sasa ndio hao wavulana wanaoshinda gym wakibeba vyuma na kujenga miili.

Hali hii sina uhakika, ila nadhani inachochewa na madawa wanayomeza vijana kwa ajili ya kututumua misuli.

Huenda hizo food supplements zina vichocheo vya homoni za kike zinazowasababisha watumiaji watamani kuingiliwa.

Nakushauri tu, ndugu mjenga misuli usiyetaka kuwa shoga, jiepushe na madawa hayo. Kula vyakula vya asili vyenye protini kwa wingi nawe mwili wako utakaa vizuri tu.

Epuka shortcut
Nahisi hata aina ya mazoezi yanachochea kupata hamu ya kuingiliwa kimwili.
 
huyu hapa
img_1_1660805200648.jpg
 
ukibeba vyuma sana unakua na kinyama na kinauma sasa ili kipoe inabidi uwekewe ndonga kirudi ndani
[emoji3][emoji51][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1][emoji2] wabeba vyumaa mmesikiaaa jaman [emoji441][emoji441][emoji441]
 
Hawataki kazi wanashinda gym, wanataka kula bata bila kujua kutafuta pesa kwa jasho.
 
Ukipita Kinondoni, Sinza, Tabata na viwanja mbalimbali utagundua kwamba mashoga sasa ndio hao wavulana wanaoshinda gym wakibeba vyuma na kujenga miili.

Hali hii sina uhakika, ila nadhani inachochewa na madawa wanayomeza vijana kwa ajili ya kututumua misuli.

Huenda hizo food supplements zina vichocheo vya homoni za kike zinazowasababisha watumiaji watamani kuingiliwa.

Nakushauri tu, ndugu mjenga misuli usiyetaka kuwa shoga, jiepushe na madawa hayo. Kula vyakula vya asili vyenye protini kwa wingi nawe mwili wako utakaa vizuri tu.

Epuka shortcut
Inashangaza watu kwasababu watu wengi wamezoea stereotype kuwa gays wako feminine, kumbe sio kweli wengi wapo kawaida tu. Sasa unachoona sinza Kinondoni, ni kwamba Dar ni mji mkubwa watu wa Tanzania wa aina zote wanakutana kiurahisi na wanaishi kwa ukaribu, hao unaowaona sinza ndio uhalisia wa watu waliokuwepo ila wataonekana hapo zaidi kwasababu ndiko rahisi wao kuwa wengi sehemu moja kuliko mji mwengine tz.
 
Mazoez ya kunyanyua vitu vizito yanachochea uzwalishaji wa homoni ya kiume Testosterone ambayo ikizd sn inabadilishwa na mwili kuwa oestrogen homoni ya kike.. that's why wanakua mashoga
 
Back
Top Bottom