Kwanini mabaunsa wengi ndiyo wamekuwa mashoga?

Kwanini mabaunsa wengi ndiyo wamekuwa mashoga?

Sijasikia wala sijaona baunsa shoga.

Au bujibuji wa gilesi mtikisiko kuna baunsa alikubutua now unamdiss.
Karucee msome mrangi
Gongolamboto kuna body builder anaitwa chipokidali,dah huyo alitia mpk fora
Maana alienda dubai aluolewa..
Kna clips zake nazo zkavuja wanakulana na mzungu wake
Yaani noma

Ova
 
Ulevi wa unga wanaobugia, wakikosa ndio shida inapo anza
 
Walaji wanapenda kitu tight, ili muscles ziwe tight lazima mazoezi Tena ya nguvu.
Walaji hawapendi mabwabwa yaliyo choka.
 
Mashoga wengi ni wazee wa gym. Wana muonekano ule ambao wadada wa mjini hupagawa nao. Vifua hivyo, mkono umejaa nyama na misuli. Unfortunately kumbe upinde.
Je, mashoga ndio wanapenda gym au gym huleta ushoga?
 
Gym zipo karne na karne na hazikuwa na mambo hayo kama yalikuwepo yalikuwa kwa kiasi tu.

Shoga anatokana na mambo mengi sio gym tu, wengine walilawitiwa na wajomba na ndugu, wengine malezi, wengine shule, wengine kuiga marafiki n.k

Kwahiyo gym ni eneo tu wanakutana watu wengi na kwenye muingiliano wa watu tabia pia ni tofauti.
 
Back
Top Bottom