Kwanini Magufuli alichukiwa ndani ya CCM?

Kwanini Magufuli alichukiwa ndani ya CCM?

Huwa unajifanya mjuaji wakati hujui kitu! Andiko zuri na linaeleza ukweli wa mambo
Andika unachojua wewe.

Ukweli wa facts haupingwi na hisia.

Mapandikizi ya Magufuli katika CCM si unaona mwenyewe yaking'olewa?

Muulize Polepole na chalii mwenzake Kakurwa.
 
Bora hawa wezi wanaotabasamu, kuliko yale majizi malimbukeni na mauaji. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika. Wizi wa kipindi cha dhalimu ulillindwa kwa kuua uhuru wa vyombo vya habari, kuteka, kubambikia kesi nk. Kipindi kile mpaka CAG muadilifu aliyegundua upotevu wa 1.5t alivuliwa madaraka kwa mizengwe ya wazi, huku spika muhuni aliyejiuzulu kwa aibu akitumiwa na dhalimu kumdhalilisha CAG huyo. Zama za utawala ule wa kishetani nadhani hautakaa urejee tena.
AMEN
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
Hivi CCM haikuona wizi wa Tshs 1.5 Trilion iliyoibuliwa na CAG?

Na huo si ufisadi wa Mwenyekiti?
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
magufuli alichukiwa sa na wana ccm wenzake na watanzania waelewa kwasababu

1. aliendeleza sana siasa ukabila na ukanda

2.katika serikali ya magufuli kulikuwa na watu wasiokosea, lakini wengine hata akiwa na hisia tu anawaharibia maisha yao.

3. uongozi wa magufuli ulikuwa haufuati sheria bali ulitegemeana na leo ameamkaje...kiujumla ilikuwa serikali ya kukurupuka kwingi
 
Kwa nijuavyo hata wakati wa JK, upinzani hawakukubalina na mambo mengi tu.
Tofauti ya wakati uliopita na wakati wa JPM, wakati wa JPM mitandao ya kijamii ilikuwa na nguvu zaidi na wafuasi wengi.

Waliofuatilia siasa za wakati wa awamu ya nne, rais JK, alisemwa sana kwa ubaya. Na alitukanwa hadi hadharani; mkwere wa watu alichukulia sawa tu. Na wakati mwingine aliwajibu kwa mafumbo.
Ila msukuma hakuweza kukubaliana na ukosoaji wa hadharani au popote pale. Hii ndio tofauti hata kwa awamu hii ya sasa.

Kwenye siasa, viongozi wengi hawako tayari kukosolewa hata kama wanakosea!

Tena binafsi naona bora hata JPM, alijidhihirisha wazi kuliko hao wengine wanafanya kwa siri.
Ama sivyo, 'mama' asingehangaika na suala la job ikiwa hakukuwa na ukweli wowote! Na inawezakana hata sasa anachukiwa sana tu, ila muda haujafika.

Ni maoni tu!
Mkwere sio kwamba haku retaliate juu ya vichambo, alirudisha mashambulizi kimya kimya sema tu hakuonesha dhahiri kuwa anachukia kukandwa.

Mtikila na Mwangosi walipotezwa under his regime.

Na ilifikia wakati aliamua kuwapa pipi akina Mbowe na Zitto ili wafunge mabakuli yao ikawa kamchezo wakitaka hela wanaanzisha propoganda ya kushikia bango hadi wapoozwe na vibahasha vya ikulu.

Ila ilipofika awamu ya Msukuma yeye huo upuuzi hakuutaka kabisa.

Walipoanzisha tu vichambo akaamuru hakuna mikutano ya hadhara bali kila mtu jimboni kwake.

Wakapush zaidi ndio akaamua kutumia force account kumkata wenge yule kibaraka wa Acacia 😅 na kuwatia ndani wapinzani!
 
magufuli alichukiwa sa na wana ccm wenzake na watanzania waelewa kwasababu 1. aliendeleza sana siasa ukabila na ukanda 2.katika serikali ya magufuli kulikuwa na watu wasiokosea, lakini wengine hata akiwa na hisia tu anawaharibia maisha yao. 3. uongozi wa magufuli ulikuwa haufuati sheria bali ulitegemeana na leo ameamkaje...kiujumla ilikuwa serikali ya kukurupuka kwingi
Ila pia kukatiwa line za hela ndio ilikuwa chungu zaidi!

Magufuli angekuwa mfujaji kama Samia hili kundi linalomchukia lisingekuwa na chuki ya kiwango hiki
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda. Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama. Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha. Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu? Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama. Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana. Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe. Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:
1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.
Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.
Bado tuna safari ndefu Watanzania.
"Mungu ibariki Tanganyika"
Yawezekana usemacho kikawa kweli

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Bora hawa wezi wanaotabasamu, kuliko yale majizi malimbukeni na mauaji. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika. Wizi wa kipindi cha dhalimu ulillindwa kwa kuua uhuru wa vyombo vya habari, kuteka, kubambikia kesi nk. Kipindi kile mpaka CAG muadilifu aliyegundua upotevu wa 1.5t alivuliwa madaraka kwa mizengwe ya wazi, huku spika muhuni aliyejiuzulu kwa aibu akitumiwa na dhalimu kumdhalilisha CAG huyo. Zama za utawala ule wa kishetani nadhani hautakaa urejee tena.
Watanzania sasa tunapumuwa, dhalimu ameoneshwa kwamba yupo Mungu aliye hai.
 
Kama kweli huo uchunguzi uligundua hayo madudu dawa ilikuwa kuiweka hiyo report public ili wenye chama Chao na taifa kwa ujumla wafahamu na pengine wangempa support. Wao hiyo ripoti ikawa siri yao na wakawa wanaitumia kama silaha kushughulikia watu kimya kimya.

Mara nyingi mwizi akienda sehemu yenye upigaji, kwanza hujifanya malaika na kufichua wezi wote kama wapo, kuwatangaza kwa aibu.

Wakishapungua, sasa yeye ndio anatengeneza timu yake.

Ndicho alichofanya JPM, hiyoripoti na nyingine nyingi, plea bargain, madawa ya kulevya (Makonda, Sabaya), kupora hela za watu benki, kuzuia vyombo vya habari kufanya kazi, kuua demokrasia zilikuwa mbinu za kuhakikisha anapiga na watu wanashangilia.

Ndio maana unaona wajinga wengi ambao hawakuelewa hilo mpaka leo wanashangilia uhuni ule.
 
Nchi hii ingekuwa na chama penzani imara, kingeondoa hili genge la wahuni. Ila ndio hivyo tena, unafiki ni mkubwa mno kwenye siasa kila mtu anaangalia tumbo lake tu.
 
Nchi hii ingekuwa na chama penzani imara, kingeondoa hili genge la wahuni. Ila ndio hivyo tena, unafiki ni mkubwa mno kwenye siasa kila mtu anaangalia tumbo lake tu.
CCM haiondoki kwa kura mkuu. Amini usiamini
2015 Lowasa alishinda
2020 Lissu alishinda pia
2010 Slaa alishinda vilevile
 
Wapinzani walikuwa na haki ya kumchukia Magufuli kutokana na mambo aliyowatenda.

Lakini cha kushangaza upinzani mkubwa sana umeibuka kutoka katika kikundi kidogo ndani ya chama chake mimi nawaita wanufaika wa chama.

Kukaibuka wakina KIGOGO 2014 hadi alipofariki uwanaharakati wao ukaisha.

Mwanaharakati Kigogo amekaa kimya kwenye kesi ya Mbowe, hapa shida ya Kigogo sio mfumo bali ni Magufuli mwenyewe.

Chuki nyingine ikahamia kwa Bashiru.
Nikajiuliza wako wapinzani wengi waliohamia CCM na kupewa vyeo vikubwa lakini kwanini wamchukie Dr. Bashiru tu?

Na kumzushia ameiba hela BOT kipindi cha maombolezo. Nikagundua tatizo Bashiru alikata mirija yao kwenye tume ya kukagua mali za Chama.

Mimi nimepanga fremu za CCM nalipa kodi laki 1.5 lakini nasikia kodi ya halali inayoingia kwenye chama ni elfu 50 nyingine watu hula kwa urefu wa kamba. Wenyeviti wa CCM wilaya waligeuza miradi ya chama kuwa miradi yao binafsi na walikuwa wanalindana.

Hii ilipelekea miradi mingi ya chama kufilisika mfano Tegeta Sekondari sasa imeuzwa kwa chuo kikuu Mzumbe.

Bashiru alifichua yote hayo kwenye kamati yake na kamba za watu zikakatwa, wenye kamba hawakufurahishwa kabisa ila hawakuwa na lakufanya. Kwahiyo tatizo la Magufuli na Bashiru ndani ya CCM ni:

1. Kuwanyima vyeo wenye chama chao.

2. Kuwapa vyeo wakuja ndani ya chama.

3. Kukata mirija ya watu ndani ya chama.

Hayo mengine ya raisi mshamba, anateuwa wasukuma, dikteta na ya Bashiru kutoa hela BOT au alitaka kumchenga mama ili aweke rais mwingine ni uzushi tu uliosambazwa na watu wale wale kupitia akaunti ileile.

Watu wamerudi ulaji wao utarudi soon na akauti ile ya uwanaharakati KIGOGO imepotea na itaibuka tena tukipata rais mwingine mshamba mwenye msimamo.

Bado tuna safari ndefu Watanzania.

"Mungu ibariki Tanganyika"
Kama alichukiwa na mkewe ndio uilaumu CCM wenzie? Mtu kaenda kula mpaka mdogo mtu huyo so takataka kabisa?
 
Aligeuza chama kampuni yake binafsi. Akamlinda musiba na kumfadhili Musiba awatukane watu, akateua watu wa hovyo wasio na sifa ya uongozi, maadamu tu walikuwa na ujasili wa kuwatukana wapinzani.
 
Back
Top Bottom