Kwanini Magufuli aliwaogopa sana Nape na January Makamba?

Umenena !!
 
Aliwaogopa kiaje
 
Mwamba Magu awezi kuwaogopa vikaragosi hao.
Najua wana tumia fedha kwenya mass media kusafisha majina yao. Waulize kwa nini waliomba msamaha na kunywea kwa Magu?
 
Mwamba Magu awezi kuwaogopa vikaragosi hao.
Najua wana tumia fedha kwenya mass media kusafisha majina yao. Waulize kwa nini waliomba msamaha na kunywea kwa Magu?
Ile ilikuwa ni kumpiga chenga ya mwili
 
Wewe uko shimoni naona, ndio maana hukuona zile habari za viongozi wa Chadema wakikatwa mapanga na kuuawa
Viongozi wawapi waliouwawa kwa mapanga?ukisema Mawazo Magufuli alikuwa bado hajawa Rais ndio alikuwa anagombea hivyo alikuwa hajawa na mamlaka,Mtikila kafariki kabla ya Magufuli kuwa Rais,nitajie Wapinzani wapi waliouwawa na Magufuli kama sio maneno ya vijiweni tu.
 
Mwamba Magu awezi kuwaogopa vikaragosi hao.
Najua wana tumia fedha kwenya mass media kusafisha majina yao. Waulize kwa nini waliomba msamaha na kunywea kwa Magu?
Vikaragosi? Huyo mwamba yupo wapi na hivyo vikaragosi vipo wapi? Unamjua ROSTAM WEWE? alimpeleka low asali ikulu kama nani? Kilichafuatia baada aya pale? Unachezea system wewe???
 
Ukristo hautoi maelekezo ya kumsamehe mtu hadharani mbele ya makamera baada ya kumtembeza mwendo mrefu huku unamchoresha kwenye kamera labda kama ni ukristo wa Chato ila kimaandiko kusameheana ni baina ya waliokoseana tu bila kuhusisha wengine (Siri)
 
Dkt Magufuli alikuwa mzalendo sana, aliamini ktk vijana ndiyo maana akawaacha. Ila kwa sasa laana inawatesa sana Nape na January.
Ungesema Nduli Magufuli alikuwa Dictator na aliamini yeye ni zaidi ya nguvu za Mungu na akajiimarisha kiusukuma, dhulma, ubinafsi roho mbaya na ukatili ila kwa nguvu za Mungu yote hayo Mungu kayatokomeza milele na aliwashindwa Nape na Makamba ,na kwa sasa Neema ya Mungu inawameremeta, na machawa ya lake zone wangali hawaamini waking'ata midomo yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…