Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kwel kabisa ukisema ukijalibu jua Immo....na ndiyo maana ktk maisha me sitaki kusema najaribu jambo flani,me huwa nafanya kabissa badala ya kujaribu maana la kujaribu huwa lina tick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel kabisa ukisema ukijalibu jua Immo....na ndiyo maana ktk maisha me sitaki kusema najaribu jambo flani,me huwa nafanya kabissa badala ya kujaribu maana la kujaribu huwa lina tick
In JK wapili voice 😊😊😊Utafiti umefanya saa ngap?
Hii ni kweli kabisa. Ni hatari kwelikweli...Ushauri wangu kama uko Nyumbani na una Housigeli ambaye ama Wewe Baba Unambandua au Mwanao Anambandua au Nduguyo hapo Kwako na hata Shemeji yako Anambandua tafadhali tumia Condom au Waambie Wavae mpira kwani Mtafiti Huru GENTAMYCINE nimegundua Mahausigeli wanaongoza kwa Kushika Mimba kwa haraka na za Kiholela kuliko hata Mabinti wa Shule, Vyuo pamoja na Wanawake wakubwa.
[emoji16][emoji16][emoji16]Ata mi sijui kwa Nini ukiwa unadokoa mboga sufuria hua inasauti Kali sana.
Hapo nimeandika mapenziWalikufundisha mapenzi au ngono??
Namalizia Kumbandua wa 321 sasa.wewe ulishabandua wangapi?
Pumbavu. Utatumia IDs zako zote mbalimbali kuonyesha Chuki zako Kwangu hapa JamiiForums ila hutofanikiwa kwakuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa?Afu una jiita great fella😂😂😂
Mr fella ma foot😂😀🙊Pumbavu. Utatumia IDs zako zote mbalimbali kuonyesha Chuki zako Kwangu hapa JamiiForums ila hutofanikiwa kwakuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa?
Ule uzi wa kuomba watu nsamaha na kusema umekuwa na hutorudia tena matusi hata iweje uliandikiwa au uliandika mwenyewe?Pumbavu. Utatumia IDs zako zote mbalimbali kuonyesha Chuki zako Kwangu hapa JamiiForums ila hutofanikiwa kwakuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa?
Hopeless.Ule uzi wa kuomba watu nsamaha na kusema umekuwa na hutorudia tena matusi hata iweje uliandikiwa au uliandika mwenyewe?