Kwanini 'Mahausigeli' wengi ni wepesi Kushika Mimba tofauti Wanawake Wengine?

Kwanini 'Mahausigeli' wengi ni wepesi Kushika Mimba tofauti Wanawake Wengine?

Ushauri wangu kama uko Nyumbani na una Housigeli ambaye ama Wewe Baba Unambandua au Mwanao Anambandua au Nduguyo hapo Kwako na hata Shemeji yako Anambandua tafadhali tumia Condom au Waambie Wavae mpira kwani Mtafiti Huru GENTAMYCINE nimegundua Mahausigeli wanaongoza kwa Kushika Mimba kwa haraka na za Kiholela kuliko hata Mabinti wa Shule, Vyuo pamoja na Wanawake wakubwa.
Hii ni kweli kabisa. Ni hatari kwelikweli...
 
Afu una jiita great fella😂😂😂
Pumbavu. Utatumia IDs zako zote mbalimbali kuonyesha Chuki zako Kwangu hapa JamiiForums ila hutofanikiwa kwakuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa?
 
Pumbavu. Utatumia IDs zako zote mbalimbali kuonyesha Chuki zako Kwangu hapa JamiiForums ila hutofanikiwa kwakuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" sawa?
Ule uzi wa kuomba watu nsamaha na kusema umekuwa na hutorudia tena matusi hata iweje uliandikiwa au uliandika mwenyewe?
 
Back
Top Bottom