Kwanini majina yetu asili tuliyakana na kuona ya wazungu/waarabu ndo yanafaa?

Kwanini majina yetu asili tuliyakana na kuona ya wazungu/waarabu ndo yanafaa?

Yale yetu ya asili watu wameya test saana wakaona yana matatizo. Kuna uwezekano wa kumrisisha mtoto roho za kiukoo.

Kwa mfano dogo akizaliwa ukampa jina la babu yake " Kaswizo" lets say basi % kubwa tabia zote atafuata za huyo babu yake Kaswizo.

Tukaona ni vizuri tuwape haya ya kigeni ambayo mengi ni ya dini zetu ama maana nzuri.
Pole sana aisee, umeathiriwa pakubwa na imani za majahazi. Mtu mweusi utaendelea siku utayorudi kwenye asili yako maana huko ndipo zilipo nguvu zako.
 
Kuna mda huwa njiuliza najiona kuwa sisi waafrica ni wajinga na tusiojielewa kabiasa.

Hebu fikiria mtu alikuwa anaitwa labda mfumta, mkuyange, kilamuhama etc anaamua kuacha na jina lake eti ni la kishetani na kusnza kuitwa john, abdul au isack kisa amebatizwa au ameslim. Huu ni ujinga kabisa. Ina maana mungu hatambui waafrica anatambua wzungu tu na waarabu?

Unakuta mtu yuko busy na kanisa/ msikiti utafikiri kauleta yeye kumbe ni ujinga tu.


Achaneni na culture za kizungu ndo maama mnafanywa mashoga na watu wa kujitoa mhanga kisa ujinga wenu
Shida ilianza kipinfi nyerere anatunganisha kkwa lugha moja ya swahili na kuachana na ukabila.
 
Swala lipo kwenye power of influence yaani nguvu ya ushawishi.
Wazungu na waarabu wametutawala.
Ila sio hivyo tuh kwenye majina hata uvaaji n.k, sasa umebadilika sababu ya utandawazi.
Hivyo kuna vitu ambavyo vinatubadili sababu ya ushawishi na utandawazi.
 
wetu!,inavyoonyesha tamaduni yetu ilikuwa ni dhaifu sana ndio maana ikawa ni rahisi kuingilika natamaduni nyengine!.. wazee wetu hawakuwa wazuri ktk tamaduni zao!.
Wewe Jamaa nime 🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu sina aisee
 
Kuna mda huwa njiuliza najiona kuwa sisi waafrica ni wajinga na tusiojielewa kabiasa.

Hebu fikiria mtu alikuwa anaitwa labda mfumta, mkuyange, kilamuhama etc anaamua kuacha na jina lake eti ni la kishetani na kusnza kuitwa john, abdul au isack kisa amebatizwa au ameslim. Huu ni ujinga kabisa. Ina maana mungu hatambui waafrica anatambua wzungu tu na waarabu?

Unakuta mtu yuko busy na kanisa/ msikiti utafikiri kauleta yeye kumbe ni ujinga tu.


Achaneni na culture za kizungu ndo maama mnafanywa mashoga na watu wa kujitoa mhanga kisa ujinga wenu
Majina ya kiafrika ni magumu hata kutamka mkuu, "Palamagamba, kingunge, etc" ukishatamka tu mara moja unaanza hisi njaa hiyo hapa
 
Hata usitulaumu sisi walaumu wazee wetu!,inavyoonyesha tamaduni yetu ilikuwa ni dhaifu sana ndio maana ikawa ni rahisi kuingilika natamaduni nyengine!.. wazee wetu hawakuwa wazuri ktk tamaduni zao!.
ilitakiwa tufuate mazuri ya tamaduni nyengine ila yale mazuri ya kwetu tusiyaache!. ukweli ni kuwa wenzetu walitukuta tukiwa bado hatujastaarabika na ndio maana wazee walirubunika you just imagine walikuja africa tayari wakiwa na mitutu(bunduki),mashua walikuwanazo tayari,tren huko kwao walikuwanazo tayari. sisi huku ndo kwanza tunaamini uchawi wakisema maji ili risasi ibadilike iwe maji!.

tamaduni dhaifu ni dhaifu tu!.
Kama.umegundua tatizo ,Si ubadilke Sasa! Wazee wetu hawakuwa na exposure Wala Elimu kubwa,.sisi tunaelimu na exposure ,tunashindwa Nini ...hivi kuwa Mkristo ni lazima uitwe John au Brian au uwe Muislam uitwe Rajab,Hassan ,nk
 
Yale yetu ya asili watu wameya test saana wakaona yana matatizo. Kuna uwezekano wa kumrisisha mtoto roho za kiukoo.

Kwa mfano dogo akizaliwa ukampa jina la babu yake " Kaswizo" lets say basi % kubwa tabia zote atafuata za huyo babu yake Kaswizo.

Tukaona ni vizuri tuwape haya ya kigeni ambayo mengi ni ya dini zetu ama maana nzuri.
Hizo ni imani tu na hazina ukweli wowote. Kwanza siku hizi watu tuna majina yetu ya kitaa tofauti kabisa na tuliyopewa kanisani au msikitini na yanafanya vizuri tu.
 
Kama.umegundua tatizo ,Si ubadilke Sasa! Wazee wetu hawakuwa na exposure Wala Elimu kubwa,.sisi tunaelimu na exposure ,tunashindwa Nini ...hivi kuwa Mkristo ni lazima uitwe John au Brian au uwe Muislam uitwe Rajab,Hassan ,nk
sasa mi nibadilike mara ngapi
 
Yale yetu ya asili watu wameya test saana wakaona yana matatizo. Kuna uwezekano wa kumrisisha mtoto roho za kiukoo.

Kwa mfano dogo akizaliwa ukampa jina la babu yake " Kaswizo" lets say basi % kubwa tabia zote atafuata za huyo babu yake Kaswizo.

Tukaona ni vizuri tuwape haya ya kigeni ambayo mengi ni ya dini zetu ama maana nzuri.

Kwahiyo Kaswizo na mababu wote walikua washenzi tu hakuna hata mmoja alikua mwema? Watoto wanaiga mabaya tu sio mazuri?

Theory yako haina tofauti na ile ya ukimcheka maskini na wewe utakua maskini ila ukimcheka tajiri huwi tajiri.

Kuamini jina linarithisha tabia ni uzwazwa kiwango cha juu.
 
Mimi natumia ya kwangu ya asili kabisa:
Umkhontowesizwe Nkulukumbi Libangandonde ✔️
 
Tulilazimishwa, sema ndio hivyo hatufundishwi historia ya jinsi hao mabwana walivyokuwa mafedhuli.

Mpaka sasa kanisa katoliki hawabatizi mtoto akiwa na jina la kiafrika, watajishaua kuwa unaweza kuchagua jina la mtakatifu wa kiafrika, lakini hao pia majina yao sio ya kiafrika.

Enzi hizo za mkoloni huduma zote muhimu kama elimu na afya ziliachwa zifanywe na wamishenari. Kwahiyo mababu zetu hawakuwa na namna.
Mimi ni mkatolik kati ya watoto wanne kuzaliwa ni mmoja ndio anajina lakizungu
 
Kuna dada tulisoma nae alikuwa anaitwa atupakisiege swege swila. Sasa jina kama hilo kulitamka ni mtiti yani walimu wengi walikuwa wanahangaika sana kulitamka.

Yeye mwenyewe alipenda kujiits atu.
Sasa unakuta mtu anaitwa kapumbu au musenge kakuma.. haaaaaahaaaaa hamna aise bora niendelee kujiita ommy.
 
Kwa haujui sisi ngozi nyeusi bado tupo utumwani?
 
Ni ujinga tu,kudhani majina ya kizungu na kiarabu ndio yanafaa mbele za Mungu! Hayanaga maana yoyote zaidi ya kupoteza asili yako,watu wamepitiliza mpaka wanawapa watoto wao majina ya rayvan, Diamondi Platnumz
 
Back
Top Bottom