Pole sana aisee, umeathiriwa pakubwa na imani za majahazi. Mtu mweusi utaendelea siku utayorudi kwenye asili yako maana huko ndipo zilipo nguvu zako.Yale yetu ya asili watu wameya test saana wakaona yana matatizo. Kuna uwezekano wa kumrisisha mtoto roho za kiukoo.
Kwa mfano dogo akizaliwa ukampa jina la babu yake " Kaswizo" lets say basi % kubwa tabia zote atafuata za huyo babu yake Kaswizo.
Tukaona ni vizuri tuwape haya ya kigeni ambayo mengi ni ya dini zetu ama maana nzuri.
Shida ilianza kipinfi nyerere anatunganisha kkwa lugha moja ya swahili na kuachana na ukabila.Kuna mda huwa njiuliza najiona kuwa sisi waafrica ni wajinga na tusiojielewa kabiasa.
Hebu fikiria mtu alikuwa anaitwa labda mfumta, mkuyange, kilamuhama etc anaamua kuacha na jina lake eti ni la kishetani na kusnza kuitwa john, abdul au isack kisa amebatizwa au ameslim. Huu ni ujinga kabisa. Ina maana mungu hatambui waafrica anatambua wzungu tu na waarabu?
Unakuta mtu yuko busy na kanisa/ msikiti utafikiri kauleta yeye kumbe ni ujinga tu.
Achaneni na culture za kizungu ndo maama mnafanywa mashoga na watu wa kujitoa mhanga kisa ujinga wenu
Wewe Jamaa nime π€£π€£π€£π€£π€£ mbavu sina aiseewetu!,inavyoonyesha tamaduni yetu ilikuwa ni dhaifu sana ndio maana ikawa ni rahisi kuingilika natamaduni nyengine!.. wazee wetu hawakuwa wazuri ktk tamaduni zao!.
Majina ya kiafrika ni magumu hata kutamka mkuu, "Palamagamba, kingunge, etc" ukishatamka tu mara moja unaanza hisi njaa hiyo hapaKuna mda huwa njiuliza najiona kuwa sisi waafrica ni wajinga na tusiojielewa kabiasa.
Hebu fikiria mtu alikuwa anaitwa labda mfumta, mkuyange, kilamuhama etc anaamua kuacha na jina lake eti ni la kishetani na kusnza kuitwa john, abdul au isack kisa amebatizwa au ameslim. Huu ni ujinga kabisa. Ina maana mungu hatambui waafrica anatambua wzungu tu na waarabu?
Unakuta mtu yuko busy na kanisa/ msikiti utafikiri kauleta yeye kumbe ni ujinga tu.
Achaneni na culture za kizungu ndo maama mnafanywa mashoga na watu wa kujitoa mhanga kisa ujinga wenu
Kama.umegundua tatizo ,Si ubadilke Sasa! Wazee wetu hawakuwa na exposure Wala Elimu kubwa,.sisi tunaelimu na exposure ,tunashindwa Nini ...hivi kuwa Mkristo ni lazima uitwe John au Brian au uwe Muislam uitwe Rajab,Hassan ,nkHata usitulaumu sisi walaumu wazee wetu!,inavyoonyesha tamaduni yetu ilikuwa ni dhaifu sana ndio maana ikawa ni rahisi kuingilika natamaduni nyengine!.. wazee wetu hawakuwa wazuri ktk tamaduni zao!.
ilitakiwa tufuate mazuri ya tamaduni nyengine ila yale mazuri ya kwetu tusiyaache!. ukweli ni kuwa wenzetu walitukuta tukiwa bado hatujastaarabika na ndio maana wazee walirubunika you just imagine walikuja africa tayari wakiwa na mitutu(bunduki),mashua walikuwanazo tayari,tren huko kwao walikuwanazo tayari. sisi huku ndo kwanza tunaamini uchawi wakisema maji ili risasi ibadilike iwe maji!.
tamaduni dhaifu ni dhaifu tu!.
Hizo ni imani tu na hazina ukweli wowote. Kwanza siku hizi watu tuna majina yetu ya kitaa tofauti kabisa na tuliyopewa kanisani au msikitini na yanafanya vizuri tu.Yale yetu ya asili watu wameya test saana wakaona yana matatizo. Kuna uwezekano wa kumrisisha mtoto roho za kiukoo.
Kwa mfano dogo akizaliwa ukampa jina la babu yake " Kaswizo" lets say basi % kubwa tabia zote atafuata za huyo babu yake Kaswizo.
Tukaona ni vizuri tuwape haya ya kigeni ambayo mengi ni ya dini zetu ama maana nzuri.
sasa mi nibadilike mara ngapiKama.umegundua tatizo ,Si ubadilke Sasa! Wazee wetu hawakuwa na exposure Wala Elimu kubwa,.sisi tunaelimu na exposure ,tunashindwa Nini ...hivi kuwa Mkristo ni lazima uitwe John au Brian au uwe Muislam uitwe Rajab,Hassan ,nk
Ni yapi hayoHizo ni imani tu na hazina ukweli wowote. Kwanza siku hizi watu tuna majina yetu ya kitaa tofauti kabisa na tuliyopewa kanisani au msikitini na yanafanya vizuri tu.
Umesahau mkuu, MsanvatabanguMajina ya kiafrika ni magumu hata kutamka mkuu, "Palamagamba, kingunge, etc" ukishatamka tu mara moja unaanza hisi njaa hiyo hapa
Yale yetu ya asili watu wameya test saana wakaona yana matatizo. Kuna uwezekano wa kumrisisha mtoto roho za kiukoo.
Kwa mfano dogo akizaliwa ukampa jina la babu yake " Kaswizo" lets say basi % kubwa tabia zote atafuata za huyo babu yake Kaswizo.
Tukaona ni vizuri tuwape haya ya kigeni ambayo mengi ni ya dini zetu ama maana nzuri.
Mimi ni mkatolik kati ya watoto wanne kuzaliwa ni mmoja ndio anajina lakizunguTulilazimishwa, sema ndio hivyo hatufundishwi historia ya jinsi hao mabwana walivyokuwa mafedhuli.
Mpaka sasa kanisa katoliki hawabatizi mtoto akiwa na jina la kiafrika, watajishaua kuwa unaweza kuchagua jina la mtakatifu wa kiafrika, lakini hao pia majina yao sio ya kiafrika.
Enzi hizo za mkoloni huduma zote muhimu kama elimu na afya ziliachwa zifanywe na wamishenari. Kwahiyo mababu zetu hawakuwa na namna.