Kwanini majina yetu asili tuliyakana na kuona ya wazungu/waarabu ndo yanafaa?

Ujinga unaanza na wewe uliyekubali kwenda shule kusoma.
Kwenda kusoma kunahusiana vipi na kuwa na ulimbukeni wa kushobokea majina ya asili ya watu wengine?

Kwani nikisoma lazima niitwe John ama David? Si ninaweza kusoma lakini bado nikabaki na jina la asili yangu?
 
Bora mimi huwa napenda asili yangu ya Kiafrika na napenda majina ya asili ya Kiafrika.

Kamwe sitaita mwanangu jina lenye asili ya uzungu wala uarabu bali la Kiafrika tu.

Ni dharau kwa mababu na mabibi zetu kuacha kuita majina yao ya asili na kushoboka na tamaduni za kipumbavu.
 
Kwenda kusoma kunahusiana vipi na kuwa na ulimbukeni wa kushobokea majina ya asili ya watu wengine?

Kwani nikisoma lazima niitwe John ama David? Si ninaweza kusoma lakini bado nikabaki na jina la asili yangu?
Kwanini ukasome!? Kusoma ni ulimbukeni na kushobokea culture za watu, asili yako haikuwa na shule wewe!.
 
Kwanini ukasome!? Kusoma ni ulimbukeni na kushobokea culture za watu, asili yako haikuwa na shule wewe!.
Nani alikwambia kusoma ni culture ya watu weupe?

Hivi kumbe hukubahatika kufika hata kidato cha nne tu hata kama ungefeli?

Zama na zama kulikuwa na formal na informal education ambazo jamii za kale kabisa za Kiafrika zilikuwa ziki practice.
 
Kwanini ukasome!? Kusoma ni ulimbukeni na kushobokea culture za watu, asili yako haikuwa na shule wewe!.
Ingekuwa kuiga majina kunamfanya mtu awe na maendeleo basi angalau ningekuelewa.

Mfano mwanao ukamuita Elon halafu akawa na ukwasi kama wa Elon ningekuelewa hoja ya kuiga na kushoboka na majina ya watu wengine nakuacha ya kwenu.

Lakini hata ingekuwa tumeiga elimu bado inaweza kuleta common sense maana elimu inakusaidia wewe binafsi na inatoa matokeo chanya tofauti na kuiga jina ambalo halikupi matokeo chanya kwenye maisha yako.
 
Nani alikwambia kusoma ni culture ya watu weupe?

Hivi kumbe hukubahatika kufika hata kidato cha nne tu hata kama ungefeli?

Zama na zama kulikuwa na formal na informal education ambazo jamii za kale kabisa za Kiafrika zilikuwa ziki practice.
Elimu uliletewa na nani wewe!? Au unajikurupusha tu!?
 
Unajua huhitaji kunielewa mimi wewe!
Sasa hiyo "common sense" nini wewe mtu wa kudumu !?
 
Elimu uliletewa na nani wewe!? Au unajikurupusha tu!?
Elimu ilikuwepo enzi na enzi unless wewe ni kilaz,a kabisa hujafika hata darasa la tatu.

Elimu haijaletwa na wazungu bali imeboreshwa tu lakini enzi na enzi elimu ipo.
 
Unajua huhitaji kunielewa mimi wewe!
Sasa hiyo "common sense" nini wewe mtu wa kudumu !?
Kama hujaelewa nilichoandika inasadifu kile ninachokifikiria namna ulivyo empty head.

Unaonekana una shobo na majina ya watu weupe huku wewe ukiwa rangi ya jongoo ila tu hujiamini na huipendi asili yako.
 
Wale Mabwana vitambi vyeupe walikuwa mafedhuli sana. Lakini pia wazee wetu walikuwa dhaifu na mila na tamaduni zetu za kiafrika zilikuwa dhaifu na zilizojaa mambo mengi ya upofu wa akili na ukatili. Ndo maana watu wa walipopata mwanya wa mbadala ilikuwa rahisi sana. Imagine mfalme akifa anazikwa na watu hai ili wamsindikize. Au mtoto akizaliwa albino au akitanguliza miguu wakati wa kuzaliwa ananyonga ili asilete balaa. Imagine hadi kuna watu wanaamini ili Simba na Yanga washinde lazima wafanye dumba. sasa enzi hizo za akina babu giza juu ya Afrika lilikuwaje???
 
Kama hujaelewa nilichoandika inasadifu kile ninachokifikiria namna ulivyo empty head.

Unaonekana una shobo na majina ya watu weupe huku wewe ukiwa rangi ya jongoo ila tu hujiamini na huipendi asili yako.
Empty Head ndio nini!?
 
Elimu ilikuwepo enzi na enzi unless wewe ni kilaz,a kabisa hujafika hata darasa la tatu.

Elimu haijaletwa na wazungu bali imeboreshwa tu lakini enzi na enzi elimu ipo.
Wewe ni mtumwa tu kama watumwa wengine, ancestors wako walijua kusoma na kuandika wewe mtumwa!?
 
Nani alikwambia kusoma ni culture ya watu weupe?

Hivi kumbe hukubahatika kufika hata kidato cha nne tu hata kama ungefeli?

Zama na zama kulikuwa na formal na informal education ambazo jamii za kale kabisa za Kiafrika zilikuwa ziki practice.
Culture ndio nini wewe mtumwa!?
 
Jikite kwenye mada

"Kwa nini majina yetu asili tuliyakana na kuona ya wazungu/waarabu ndo yanafaa?"​

Ni upuuzi angalau akina twambombo na wasukuma wamejitahidi kutoyatupa marina yao nenda huko pwani sasa sijui farhatt yaani upuuzi mtupu,mi nina jina la kizungu ila ningekuwa na uwezo wa kujipa la kwangu ningejiita Ipyana.
 
Mtoa mada hii uliyonayo Kimakonde inaitwa 'Nyongo'yaani katika mawazo ya kijinga ni haya ya kuchukia sijui majina ya kizungu sijui kiarabu wakati huo huo hawa wachukizwa wana miliki magali televisheni suti wakiumwa wanakimbilia mahospitali unakataa majina huku kuna vitu chungu mzima unavikubali kwani hayo majina ya kiafrika ukiitwa yanaathali gani kwenye maisha yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…