Kwanini majina yetu asili tuliyakana na kuona ya wazungu/waarabu ndo yanafaa?

Hawa wageni wamefaulu sana kutulisha ubwege na Upumbavu wao, wazungu kwa waarabu, unakuta mtu anaitwa, ABDSALIM MUKTBIH GHOSHALUM, ngozi mweusi tiii, na yeye kiakili anajiona ndiyo Mwarabu halisi kuliko waarabu wenyewe,
Wametuweza kutuchota akili kweli.
 
Hatupangwingwi! In Ruto's voice!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…