Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Legacy ya Makamba ni kuwasababishia mgao wa umeme watanzania.Makamba anawatoa uharo si mchezo, kila dakika mnahangaika nae lakini ye amewakaushia tu........anawaona kama mabwege flani
MAMBO MENGINE MWACHIENI RAIS...Jamani kunamtu anajua kwanini hawa mabwana wameondolewa Nishati na wote wamepelekwa mambo ya Nje?
Sawa, inamtosha hiyohiyo na sasa anazidi kuchanja mbuga.......huku nyie mkiendelea kubaki nyumbani na dada zenu mkimpigia umbea!!Legacy ya Makamba ni kuwasababishia mgao wa umeme watanzania.
Rais yupi?MAMBO MENGINE MWACHIENI RAIS...
Kwa kuiacha nchi gizani hatutomsamehe tutamzungumzia Tu kama moja ya waziri kilaza kuwahi kutokea nishatiMakamba anawatoa uharo si mchezo, kila dakika mnahangaika nae lakini ye amewakaushia tu........anawaona kama mabwege flani
Hakuna mbuga yoyote aliyochanja kuwa mambo ya nje kawaida Sana mbona Staragomena kaingia na sasa kaondoka?Sawa, inamtosha hiyohiyo na sasa anazidi kuchanja mbuga.......huku nyie mkiendelea kubaki nyumbani na dada zenu mkimpigia umbea!!
Wanaandaliwa nafasi za juuJamani kunamtu anajua kwanini hawa mabwana wameondolewa Nishati na wote wamepelekwa mambo ya Nje?
Kama ni waislam hakuna shida ,KAZI iendeleeWamejenga teamwork nzuri
Ila foreign palitakiwa Naibu Waziri kutoka Zanzibar ila hawa January na Byabato wanatoka mkoa Mmoja!
Wa JMTRais yupi?
JMT haina Rais, huyo mliyenaye ni msimamizi wa mirathi tu.... na anafuja mali zenu kabla mfikishe miaka 18.Wa JMT
Ndie rais, kama hutaki ni wewe. Haibadili kituJMT haina Rais, huyo mliyenaye ni msimamizi wa mirathi tu.... na anafuja mali zenu kabla mfikishe miaka 18.
Sikiliza bro, Mkataba wa LNG kuanzia zero mpaka sasa hivi wanasign nani Waziri wa Nishati? FDI ya $40Billion haijawahi kutokea nchi hii.Kwa kuiacha nchi gizani hatutomsamehe tutamzungumzia Tu kama moja ya waziri kilaza kuwahi kutokea nishati
Aaah Selemani weeeh!Sikiliza bro, Mkataba wa LNG kuanzia zero mpaka sasa hivi wanasign nani Waziri wa Nishati? FDI ya $40Billion haijawahi kutokea nchi hii.
Ukiwasililiza watu humu utafikiri Makamba hajafanya kitu.
Tanesco makes sense business wise now. Unaweza kupeleka mahesabu yake NYSE na ikawa listed. Lakini juhudi za Maharage wachumba chumvi hawazioni.
Sasa hivi hii nchi ina SHERIA ya Nishati safi ya kupikia. Mabadiliko ya tabia nchi tutaokoa miti mingapi tukiachana na kuni? Ila ooh Makamba hafanyi kitu.
Transmission lines kilometa ngapi zimejengwa wakati wa Makamba vs Waziri yoyote wa Nishati.
Pound to pound January kihistoria atakuja kuwa Waziri bora wa Nishati nchi hii haijapata kutokea.
Nimekaa paleeeeeeee.