Kwanini Makamba na Byabato wametolewa wote Wizara ya Nishati na wote kupelekwa Wizara ya Mambo ya Nje?

Kwanini Makamba na Byabato wametolewa wote Wizara ya Nishati na wote kupelekwa Wizara ya Mambo ya Nje?

Huna hoja na hujui kitu.Rudi darasani ukijua hiyo sababu ndio inafanana na Tanesco
Sawa kabisa boss umepatia: Elimu kwa kweli sina kabisa, wala siyo siri, maana hata ile ya form four nayo nilizungusha.

Lakini msomi, ninahitaji niwe na elimu yoyote ili niweze kuwaona wahuni wakitengeneza maji feki huku mitaani?
 
Back
Top Bottom