Native diaspora
JF-Expert Member
- Nov 19, 2020
- 265
- 458
Unaweza rejerea hio ya manefil mkuu kwenye baibo niokote mawili matatuUkizungumzia Uumbaji wa Mungu na Ukazungumzia Dunia Inayoelea unaenda kinyume moja kwa moja..
Biblia Haisemi kama Dunia Inazunguka au Inaelea Biblia Inasema Dunia Imesimikwa na Jua ndo linazunguka Dunia pamoja na Mwezi..
Kwa Mujibu wa Biblia Malaika Wanakula Wanaweza Kuzaa na wanaweza kuoa (Rejea Story ya Manefil)..
Kwa Mujibu wa Quran Malaika hali wala hawezi kuzaa..
Kuzimu Kwa mujibu wa quran na Biblia Ni chini..
Shetani hana Mke ila kwa Mujibu wa Jews na Talmud Na Baadhi ya Hadith za Wayahudi Shetani alimuoa Lilith..
Tatizo liko kwako wewe katika kufikiri, ni wapi ulikuta kuna muongozo umeandikwa kwamba Jina hili ni la Jini, mwarabu, mzungu, mchina, giliki, n.k.? Si ni uelewa wako uliokaririshwa na Dunia uliyokulia. Ndiyo maana hakuna sheria inayokataza mtu kujiita kuitwa jina lolote unaloona wewe kuwa linafaa. Shida lisikwaze jamii unayotoka wewe. Yapo majina ya Viongozi au watu wa kawaida kwa Kiswahili ni matusi. Lakini kwao ni majina mazuri sana. Ondoka huko kufikiri kitotoOkay but Malaika inaonekana wapogo tu kabla hata ya kuumbwa Adam, hao Akina mikaeli, gabriel, lucifa woote walikuepo kabla ya stori za waebrania hazijaanza, hapo unasemaje Dokta?
Joke tu,Mungu ni "eli"Sons of God wengi wana eli mwisho, mfano hawa fallen angles kama The names of the leaders are given as "Samyaza (Shemyazaz), their leader, Araqiel, Râmêêl, Kokabiel, Tamiel, Ramiel, Dânêl, Chazaqiel, Baraqiel, Asael, Armaros, Batariel, Bezaliel, Ananiel, Zaqiel, Shamsiel, Satariel, Turiel, Yomiel, Sariel."mh kwamba yuko malaika anaitwa Masumbuko au Mihayo au Mushi au Kyaruzi?
Mbinguni tuna kula kama starehe lakin sio njaa,Nipo najiuliza hapa maswl nisiyokuw na majib nayo
1.malaika anakula!?
2.malaika wanawapenzi/mke au mume
3.je kuzimu kupo wapi!?
4.shetan anamke/mume
5.dunia inasemekana inaelea je chin ya dunia kuna nn km juu tunavyoona mawingu!!?
mwenye kujua anitag ila naona kuna usiri mkubw san ktk uumbaji wa dunia
Mimi nilikuwa nje ya mada kidogo mkuu nilichoandika hakihusiani na mada, anyway tukija kwenye mada hata mimi nafahamu kwamba hayo majina ni suala la lugha tu, ni sawa na wazungu waseme Peace sisi tuseme Amani au wazungu waseme Grace sisi tuseme Neema na mengine kama hayoHiyo siyo ishu sana kutoyasikia, lakini mtoa mada alidai waarabu hawana hayo majina kwa kiarabu ndio nikamtolea mifano hiyo.
Hapo kwenye wanefeli wali wa mutate wale mabinti na mimba za kupandikiza, fallen angle wana tech kubwa sasa, ukisoma dimension za mjii mtukufu huko mbinguni utashangaa, ipo kwenye bibleUkizungumzia Uumbaji wa Mungu na Ukazungumzia Dunia Inayoelea unaenda kinyume moja kwa moja..
Biblia Haisemi kama Dunia Inazunguka au Inaelea Biblia Inasema Dunia Imesimikwa na Jua ndo linazunguka Dunia pamoja na Mwezi..
Kwa Mujibu wa Biblia Malaika Wanakula Wanaweza Kuzaa na wanaweza kuoa (Rejea Story ya Manefil)..
Kwa Mujibu wa Quran Malaika hali wala hawezi kuzaa..
Kuzimu Kwa mujibu wa quran na Biblia Ni chini..
Shetani hana Mke ila kwa Mujibu wa Jews na Talmud Na Baadhi ya Hadith za Wayahudi Shetani alimuoa Lilith..
ila biblia inasema walilala naoHapo kwenye wanefeli wali wa mutate wale mabinti na mimba za kupandikiza, fallen angle wana tech kubwa sasa, ukisoma dimension za mjii mtukufu huko mbinguni utashangaa, ipo kwenye bible
Mkuu hapo kwenye Dunia Ipo Angani umejibu kutumia Biblia Au Science??Mbinguni tuna kula kama starehe lakin sio njaa,
Malaika hawazaliani hawana uwezo huo,
Lucifer hana mke,,
Dunia ipo angani na anga haina juu wala chini, mfano chora Duara halafu weka doti katikati ya duara ukiweza kuniambia juu au chini ni wapi acha pombe
Kizimu ni ulimwengu wa roho ulio mfuu na kiza na upo hapa dunia
Lete kifunguila biblia inasema walilala nao
Mkuu Unafahamu Story ya Nuhu ilikuaje??Unaweza rejerea hio ya manefil mkuu kwenye baibo niokote mawili matatu
Biblia na science is the same thing,Mkuu hapo kwenye Dunia Ipo Angani umejibu kutumia Biblia Au Science??
Mwanzo 6:1-4Lete kifungu
But biblia Inasema Dunia Imesimikwa kwenye Nguzo na Haizunguki Ila Jua linazunguka..Biblia na science is the same thing,
Biblia hiyo hiyo imesema dunia ni duara,shida kuna dunia mbili either spiritual or physical, on in betweenBut biblia Inasema Dunia Imesimikwa kwenye Nguzo na Haizunguki Ila Jua linazunguka..
Na Inasema Dunia Iko Fixed ..
Wakati science inapinga hayo yote
Hapa kuna mkanganyiko mkuu, malaika hawana genital parts hawajaumbwa kuzaliana?unataka kuniambia mbinguni kuna malaika wake, na wengine wana mimbaa, au kunyonyesha hii haiingii akilini,Mwanzo 6:1-4View attachment 2979121
Mkuu Umeomba Fungu La kwenye Bible nimekupa 😅😅..Hapa kuna mkanganyiko mkuu, malaika hawana genital parts hawajaumbwa kuzaliana?unataka kuniambia mbinguni kuna malaika wake, na wengine wana mimbaa, au kunyonyesha hii haiingii akilini,
But What about Revolution..Biblia hiyo hiyo imesema dunia ni duara,shida **** dunia mbili either spiritual or physical, on in between
Swali makini sana hili.Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Huenda Ina maanisha watu weusi ni miungu/watakatifu😆😆Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?