Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Kwanini malaika wana majina ya Kizungu na majini (mapepo) yana majina ya Kiarabu?

Ulishakuwa Judaism!

Mwaka 2011 ukasilimu!

Na inaonekana unao ufahamu wa Kikristo!

Wewe ni dini gani kwa sasa?
Hapana kwa sasa Sina dini kwa kweli 😅😅
Zaidi ya Upendo tu na kujitoa kwa ajili ya Watu wenye Uhitaji..

Niligundua Kuwa Dini na Chuki Kuna mstari mdogo sana
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Sio kwa bongo Ilifanyika Israel Mkuu!
Maaan kwa Tanzania Nimerudi Nikiwa sina Dini 😅😅😅
Maana niliona Jews wananichanganya baada ya Kuwa Judaism kwa Miaka mitatu..

Kuhusu Ritual na Kusoma ni kweli ukishaconvert lazma ukabidhiwe Rabbi Usome kwanza kabla ya kuanza kufanya Ritual yoyote au kuanza kufanya ibada yoyote au Kushila Tanakh ukikamilisha..
Ndo unaruhusiwa kusali..

JUdaism ni kama Waislamu kwa Baadhi ya Vitu Hasa unapoconvert lazma uoge Kama unavooga kwa waislam baada ya kusilimu..

Niliwahi kuandika hapa ibada zinazofanyika zinazofanana na Uislamu
😄😄😄

Ngoja niendelee kusoma...
 
Noo!

Kwa hilo "umepotea"
Mkuu Nimepotea Wapi??

Kwa Mujibu wa Biblia Dini Iliyosafi na Isiyo na Taka unaijua??
Screenshot_20240503_192251_Chrome.jpg


Hata Quran Inampa Daraja La Juu mtu anayejali Mayatima na Kutoa sadaka kwa wasioJiweza na Ana pepo (Mbingu) yake yenye Kumeremeta..

Screenshot_20240503_192858_Quran Swahili.jpg

Screenshot_20240503_192617_Quran Swahili.jpg
 
utajuta, achana na hizo habari. mwisho wa siku jini litakutoa wewe mwenyewe kuwa sadaka baada ya kukuonyesha mapichapicha ya kutosha
Kama unajua litanitoa sadaka kwa nini unakuja kuniuzia hiyo hirizi za majini (pete)?.
 
Alama ya mkato haimaanishi msemaji amemqliza kusema,inamaanisha sentence bado inaendelea.
Nb
Umeleta aya moja katika lugha 3 tofauti.
Kiarabu,kiingereza na kiswahili.
Ile ya lugha kiingereza katika mabano haina Neno Jibril(mabano yapo empty)ila hii ya kiswahili ukapachika neno/jina Jibril ili kuleta maana unayoitaka wewe.
Usidanganye ukajikuta unapata dhambi bure hata kwa Mungu unaemuabudu.
Kuna somo linaitwa tafsir.....kila ayat ina historia na dhumuni la kushuka kwake kutokana na matukio aliyokuwa akikutana nayo mtume kipindi cha uhai wake. Maswahaba wakazipokea aya kwa ufahamu na kufundishwa na mtume. Sasa huwezi kuleta uelewa wako wenye hila ukataka kupotosha maana halisi za aya.
 
Kwa akili kisoda za namna hii kweli tutaacha kutawaliwa?

Mashetani kule Brazil na yenyewe yanaitwa kina maimuna? au mashetani yapo uarabuni na Afrika tu? Mkiambiwa someni hamtaki, mwisho ujinga ndo mnauona werevu!
Mapovu kama yote
 
Wanefili wanaelezewa katika Biblia kwa njia hii:

Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile;tena ,baada ya hayo ,wana wa Mungu walipoingia kwa binti za binadamu,wakazaa nao wana;hao ndiyo waliokuwa watu hodari zamani ,watu wenye sifa.

— Mwanzo 6:4 (Biblia Takatifu)

Kulingana na mafundisho ya utawala wa kidunia wa mwanadamu, Mungu aliwapa wanadamu mamlaka aliyowakabidhi katika sayari hii. Mungu alimuumba mwanadamu tu kama kiumbe chenye nyama na nafsi. Wanatheolojia wengi wanaamini kwamba mapepo ni malaika walioanguka na nafsi au roho lakini hawana mwili . Wanyama wana mwili na akili, lakini hakuna nafsi au roho ya milele. Kwa mfano wa Mungu, mwanadamu ameumbwa kwa namna ya pekee kama kiumbe cha utatu, kinachojumuisha roho, nafsi (akili, mapenzi, na hisia), na mwili wake.

Mungu alimpa mwanadamu uwezo wa kutawala duniani kama mtawala wake kwa sababu alimuumba kwa mfano wake kama kiumbe cha utatu. Chini ya Mungu, ni mwanadamu tu aliyeumbwa kwa mavumbi ya ardhi ndiye anayeweza kumiliki mamlaka. Biblia haionyeshi kwamba roho waovu wanaweza kuchukua mwili, na hakuna uthibitisho wa hilo. Malaika, wawe wa mbinguni au walioanguka, wanaweza kuonekana katika umbo la kibinadamu, lakini bado ni viumbe wa roho, kama tujuavyo.

Katika mstari wa 24, Mungu anasema katika Mwanzo sura ya kwanza kwamba dunia inapaswa kutokeza viumbe hai kulingana na ‘aina’ zao. Samaki haruhusiwi kuzaliana na ndege. Haiwezekani kwa wanadamu kuzaana na wanyama au mapepo. Aina zote za viumbe duniani zina mifumo yao ya kipekee ya kuzaliana.

Biblia katika kifungu inasema,

Wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri…

Ben elohim ni neno la Kiebrania linalomaanisha 'wana wa Mungu', ambalo ni tafsiri halisi ya 'wana wa Mungu'. “Wana wa Mungusi malaika (au roho waovu) kama wengine wanavyofikiri. Wazao wa Sethi walikuwa wale walioweka imani katika Mungu aliye hai (wana wa Mungu) , wakati “binti za wanadamu” walikuwa ni wazao wa Kaini.

Maelezo ya Luka kuhusu nasaba ya Yesu yanafunua hili:

Luka 3 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²³ Na Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa amepata umri wake kama miaka thelathini, akidhaniwa kuwa ni mwana wa Yusufu, wa Eli,

³⁸ wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.

Pia tunajua kutoka kwa Yesu mwenyewe kwamba malaika hawaoi (Mathayo 22:30, Marko 12:25).

Taswira ya Luka inaenea zaidi ya hapo:
Luka 20 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
³⁴ Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa;
³⁵ lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi;
³⁶ wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.

Kwa kiswahili naona kama hatutapata maana halisi

The speculation that angels had sexual intercourse with women seems to revolve around the word “Nephilim”. Genesis 6:4 in the NASB says “The Nephilim were on the earth in those days, and also afterward, when the sons of God came in to the daughters of men, and they bore children to them. Those were the mighty men who were of old, men of renown.”

“Nephilim” comes from a Hebrew word that can be translated as “those that cause others to fall down” or “the fallen ones”. The assumption is that “Nephilim” is a race of giants that are the offspring of angels and human. BUT

The word “Nephilim” appears again in Numbers 13. If the “Nephilim” were only the product of angels with humans then why do we see them again 2,000 years after they were all destroyed by the Flood?

“Nephilim” is NOT a race of giants, it’s just the Bible word for giants. There is nothing special or unique about the Nephilim other than the fact that they were giant men who could fight. 1You can think of Goliath the Philistine, who fought David and measured over 9′ tall, as a “Nephilim”. But no Bible scholar would consider him a descendant of fallen angels. He was just a brute human who could fight.

What about Job 1:6? Now there was a day when the sons of God came to present themselves before the Lord, and Satan also came among them.

This verse has been interpreted to mean that “angels” are the “sons of Godbecause who else would present themselves before God? BUT

Job 38:4, 7 says: Where were you when I laid the foundation of the earth? Tell Me, if you have understanding, . . . when the morning stars sang together, and all the sons of God shouted for joy?

In the passage above, God is speaking to Job directly. Notice how God makes a distinction betweenthe morning stars” and the “sons of God”.

We know that Satan was called “Lucifer, Son of the Morning” (Isaiah 14:12) so we can safely say that “the morning stars” are angels. But who are the sons of God?


The Bible does NOT explain this directly but it hints at beings from unfallen worlds who did not disobey God after the manner of Adam. Think of them as the “Adams” of other worlds who never sinned. Had Adam been obedient to God, he too would have been able to join that heavenly council in Job 1 and 2.

When Adam sinned, he forfeited his spot in the Heavenly Council to Satan.

This is why in Job 1 and 2, God tells Satan about Job (a human) and his faithfulness. It is as if God were saying to Satan, “look at Job, he is more worthy to be here than you because He is obedient to My word.” Basically God was calling Job “a son of God.

Deuteronomy 32:8 : When the Most High gave to the nations their inheritance, when he separated the sons of men, he fixed the bounds of the peoples according to the number of the sons of God. (Revised Standard Version)

The language is similar in Hebrew to that used in Genesis 6 when it spoke of the “sons of God” and “daughters of men”.

To recap:

The “sons of God” are HUMANS who are obedient to God and follow His commandments. FOR THIS VERY REASON Jesus came to earth. John 1:12–13 says

But as many as received [Jesus], to them gave he power to become the sons of God, even to them that believe on his name: Which were born, not of blood, nor of the will of the flesh, nor of the will of man, but of God.

Sons of men and sons of God were a distinction between men who accepted God and were His followers (sons of God) and those who did not accept and follow God (sons of men or daughters of men) .
Nop, giant seed is not from this world, Human are sons of men, angles are sons of God and thisis very clear, believe or not this angels did something to the womens that bible claims as wives of fallens rather than sex
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Kuna somo linaitwa tafsir.....kila ayat ina historia na dhumuni la kushuka kwake kutokana na matukio aliyokuwa akikutana nayo mtume kipindi cha uhai wake. Maswahaba wakazipokea aya kwa ufahamu na kufundishwa na mtume. Sasa huwezi kuleta uelewa wako wenye hila ukataka kupotosha maana halisi za aya.
Why uongelee tafsri ilhali andiko linasema kitu kile kile hata kwenye lugha mama?.
Ulianza kwa kunituhumu kuwa nimedanganya,ukashindwq dhibitisha.
Ukasema,nimeondoa koma,ukashindwa dhibitisha then ukakimbilia kwenye lugha, uko nako kichaka ni kifupi,uongo wako unaonekana.

Andiko lipo short and clear"aliyekuwa Adui wa Jibril huyo ndiye aliyeishusha Qur'an".

Nb: hii sio Ligi,mi nakomea hapo.
 
Back
Top Bottom