technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Nani ana betri?Watakao kufa na corona ni wale wenye betri visukari n.k. siyo mwanaye Mbowe.
Ameugua ndio, kwani kuna lipi jipya ..mbona imeshakua kawaida tuMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Na kwanini taarifa zake zinatolewa na police na sio madactari?
sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona je kuna siri gani?
Je aligoma kumfuza kwa Membe? au alisaport kufukuzwa kwa Membe nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mala ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Usikute akili zako Kuna mtu kazishikikia mateka au Kuna mahali umezisahau! Zirudie zikusaidie kutambua amri iliyowekwa na serikali juu ya Nani mwenye mamlaka ya kuitangaza wagonjwa wa corona! Mbowe hata Kama anauguliwa na mtoto bado hawezi kuvunja amri iliyowekwa ya kumtangaza mwenye corona kwani anajitambua na anatambua umuhimu wa kutii na kufuata taratibu zilizowekwa na serikali juu ya kadhia hii. Namshangaa mkuu wenu wa mkoa anajitangazia tu huku malamlaka za juu zimekataza na sijui anapimana ubavu na serikali au boss wake!Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Naona siku hizi hupatikani sana vipi corona imekupata nini? Pole sana mkuu!
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
Jr[emoji769]