Kwanini Mangula ameondolewa Muhimbili kimya kimya?

Kwanini Mangula ameondolewa Muhimbili kimya kimya?

Kama kwenye kadamnasi kapewa sumu je huko aliko lazwa aruhusu watu kwenda kumuona au walikwambia tayari kakamatwa aliyemlisha sumu ? Mkuu nenda kwake huenda ukapata ukweli alikopelekwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Maskini Mzee Mangula...!!Isingelikuwa Ugonjwa wa Corona saa hii angelikuwa China, India au Sauz...!Lakini Corona imerejesha usawa kwa wote. Sote tunatibiwa hanohano hakuna cha India wala Sauz....!! Shubamit.
 
Mmempeleka wapi mzee Mangula?
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:

Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?

In God we Trust
 
Nipo hapa nangojea picha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa
tapatalk_1585059833324.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:

Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Ikiwa Polisi ndiyo waliikuwa wasemaji wa Mangula kwanini wasiwe pia hivyo kwa Mh Mbowe??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:

Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Unamshanga mbowe
Mbn Mandela alimtangaza mwanawe aliyegundulika na virusi vya ukimwi

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na ukongwe wa Taifa Letu ila miongoni mwa vitu vya ajabu vilivyotokea ni hiki kizazi Cha Vijana wa Siasa Uchwara,Vijana mmekuwa Small minded mnashindwa kufikiria Mambo ya kitaifa na tija kwa jamii mnaleta ushakunaku aisee

Punguzeni Ubwanyenye,Ubendera fungueni akili zenu,acheni Siasa Uchwara na Chuki zisizo na faida.fanyeni siasa zenye tija kwa jamii siyo Umbea mnajishusha value kwa kuhisi mtamfurahisha SULTAN,Kumbe nae anawa dharau maana anaona dhairi hamna chochote kichwani ebu acheni hadithi za Mbilikimo mcheshi.

Unadhani Corona ni Janga la kundi fau jamii fulani??? Sawa Leo utapiga vigeregere kwa sababu kauguliwa Yule lakini Umefikiria kesho???.Ebu badilikeni Msifanye kila mtu akatamani na kuomba kizazi hiki Cha kusifu na kuabudi kipotee maana hakina faida.
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:

Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mangula naye alitumikia CCM vizuri kwenye ukatibu, akapumzika, sijui kitu gani kikamleta tena kwenye uongozi wa chama. Hivi watu wanadhani ukikipenda sana chama basi nacho chama kitakupenda vivyo hivyo. Chama ni watu wenye mtazamo na makuzi tofauti wanaunganishwa na kitu kimoja tu - tumbo (maslahi binafsi) Hayo mambo mengine ya kusema nakipenda chama au niko kwa ajili ya wanyonge hizo ni swaga tu au style za kula tunda wakati lengo kwa wote nililelile.
 
Sikio la kufa
Mangula naye alitumikia CCM vizuri kwenye ukatibu, akapumzika, sijui kitu gani kikamleta tena kwenye uongozi wa chama. Hivi watu wanadhani ukikipenda sana chama basi nacho chama kitakupenda vivyo hivyo. Chama ni watu wenye mtazamo na makuzi tofauti wanaunganishwa na kitu kimoja tu - tumbo (maslahi binafsi) Hayo mambo mengine ya kusema nakipenda chama au niko kwa ajili ya wanyonge hizo ni swaga tu au style za kula tunda wakati lengo kwa wote nililelile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Ile ni police case kamanda
Ulitaka aondolewe kwa matarumbeta?
 
Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?

Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?

Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?

Nchi ya wadanganyika.
 
Mangula naye alitumikia CCM vizuri kwenye ukatibu, akapumzika, sijui kitu gani kikamleta tena kwenye uongozi wa chama. Hivi watu wanadhani ukikipenda sana chama basi nacho chama kitakupenda vivyo hivyo. Chama ni watu wenye mtazamo na makuzi tofauti wanaunganishwa na kitu kimoja tu - tumbo (maslahi binafsi) Hayo mambo mengine ya kusema nakipenda chama au niko kwa ajili ya wanyonge hizo ni swaga tu au style za kula tunda wakati lengo kwa wote nililelile.
Hakuna kingine zaidi ya njaa na ukubwa wakupigiwa salute kila siku. Binaadamu tu wadhaifu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:

Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Mbowe siyo msemaji.Msemaji Ni Waziri wa Afya,Waziri mkuu na Rais.Ila Kwa vile Makonda Kasema Basi Mbowe hajapinga,kaongezea tu kuwa Mwanaye kaipata Corona hapahapa Bongo therefore take Care Corona ipo mtaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom