tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mwenye betri na presha amekimbilia kwenye mawe domWatakao kufa na corona ni wale wenye betri visukari n.k. siyo mwanaye Mbowe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye betri na presha amekimbilia kwenye mawe domWatakao kufa na corona ni wale wenye betri visukari n.k. siyo mwanaye Mbowe.
Wewe juma lililopita uliomba coronavirus ifike nchini. Paschal Mayala akakusema ukajitetea kizembe sana. Sasa imefika na imepiga kambi nyumbani Kwa mwenyekiti wenu Wa Sacco's yenuNa kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
MKuu hivi walipo mpeleka walitutangazia?Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Wewe juma lililopita uliomba coronavirus ifike nchini. Paschal Mayala akakusema ukajitetea kizembe sana. Sasa imefika na imepiga kambi nyumbani Kwa mwenyekiti wenu Wa Sacco's yenu
Hili swali halijibiwi kabisa toka jana,inawezekana huyu mzee kapelekwa nje kimyakimya kuipigania uhai wake.Akidanji hawana cha kuwaambia Wanaccm na Watanzania kwa ujumlaHivi wamempeleka wapi ?
Kwani jamaa ana betry?
ili iweje? tunataka taarifa juu ya makamu wetuMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Tuambie ww ukweli wa hali ya mwanae?Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Wote humu humu kama walichelewa kuboresha basi tutafia wote humuMaskini Mzee Mangula...!!Isingelikuwa Ugonjwa wa Corona saa hii angelikuwa China, India au Sauz...!Lakini Corona imerejesha usawa kwa wote. Sote tunatibiwa hanohano hakuna cha India wala Sauz....!! Shubamit.
Yawezekana aligoma kumfukuza Membe!! subira yavuta kheriNa kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Kwani hujamsikia Mbowe akieleza juu ya mtoto wake? Kumbuka kuna tofauti kubwa ya Tatizo la mtoto wa Mbowe na Mzee Mangula,issue ya Mangula inahusisha Vyombo vya dola tumia Akili mkuuMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?