Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Kama kwenye kadamnasi kapewa sumu je huko aliko lazwa aruhusu watu kwenda kumuona au walikwambia tayari kakamatwa aliyemlisha sumu ? Mkuu nenda kwake huenda ukapata ukweli alikopelekwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Watakao kufa na corona ni wale wenye betri visukari n.k. siyo mwanaye Mbowe.
Ikiwa Polisi ndiyo waliikuwa wasemaji wa Mangula kwanini wasiwe pia hivyo kwa Mh Mbowe??Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Unamshanga mboweMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Mangula naye alitumikia CCM vizuri kwenye ukatibu, akapumzika, sijui kitu gani kikamleta tena kwenye uongozi wa chama. Hivi watu wanadhani ukikipenda sana chama basi nacho chama kitakupenda vivyo hivyo. Chama ni watu wenye mtazamo na makuzi tofauti wanaunganishwa na kitu kimoja tu - tumbo (maslahi binafsi) Hayo mambo mengine ya kusema nakipenda chama au niko kwa ajili ya wanyonge hizo ni swaga tu au style za kula tunda wakati lengo kwa wote nililelile.
Ile ni police case kamandaNa kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Hakuna kingine zaidi ya njaa na ukubwa wakupigiwa salute kila siku. Binaadamu tu wadhaifu sanaMangula naye alitumikia CCM vizuri kwenye ukatibu, akapumzika, sijui kitu gani kikamleta tena kwenye uongozi wa chama. Hivi watu wanadhani ukikipenda sana chama basi nacho chama kitakupenda vivyo hivyo. Chama ni watu wenye mtazamo na makuzi tofauti wanaunganishwa na kitu kimoja tu - tumbo (maslahi binafsi) Hayo mambo mengine ya kusema nakipenda chama au niko kwa ajili ya wanyonge hizo ni swaga tu au style za kula tunda wakati lengo kwa wote nililelile.
Betri ya gari au Bajaji?
In God we Trust
Mbowe siyo msemaji.Msemaji Ni Waziri wa Afya,Waziri mkuu na Rais.Ila Kwa vile Makonda Kasema Basi Mbowe hajapinga,kaongezea tu kuwa Mwanaye kaipata Corona hapahapa Bongo therefore take Care Corona ipo mtaaniMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?