hovioo kabisa weweMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Mangula ni mtanzania , siasa ni kazi yake ila linapokuja suala la afya yake ni suala la ubinadamu na siyo uhasama mkuuMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
technically,
Inakuhusu nini wewe mpinzani wa JPM?
Uko Karantini ya siku 14?
Halllaaaah! Kumbe baada ya kuuguliwa mwanae ndio akajua kuna mamlaka na anaziheshimu? Basi sawa! Tutakumbushana mbeleni.Usikute akili zako Kuna mtu kazishikikia mateka au Kuna mahali umezisahau! Zirudie zikusaidie kutambua amri iliyowekwa na serikali juu ya Nani mwenye mamlaka ya kuitangaza wagonjwa wa corona! Mbowe hata Kama anauguliwa na mtoto bado hawezi kuvunja amri iliyowekwa ya kumtangaza mwenye corona kwani anajitambua na anatambua umuhimu wa kutii na kufuata taratibu zilizowekwa na serikali juu ya kadhia hii. Namshangaa mkuu wenu wa mkoa anajitangazia tu huku malamlaka za juu zimekataza na sijui anapimana ubavu na serikali au boss wake!
Pia sio haki kwa mtu yeyote isipokuwa daktari na mgonjwa ndio Wana haki ya kuusema ugonjwa wa mhusika na sio baba Wala mama! Haya ni kwa mujibu wa maadili ya kitabibu na kikatiba ili kuilinda faragha ya mgonjwa!
Ni aibu Tena kubwa kushangilia jirani yako akiuguliwa! Kama humjui Mungu mtafute Leo uitubu hii dhambi kwani ana uwezo wa kuishusha hiyo korona kwenye familia yako ili kumuonyeaha kuwa dharau na dhihaka ni machukizo mbele zake! Utubu na kuomba msamaha kwa kauli yako hii!
FIFO....Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Sasa ulitaka upewe taarifa wewe kama nani? Tuambie sisi tunaokaa uswahilini wewe ni nani hapa nchini? Na una umuhimu gani upewe taarifa kila linalotokea hapa TzNa kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Mamboleo anawatafuta waliompa sumu Mangula.Wenzenu tunakula hotel isiyojulikana na mahali kusiko julikana, shauri yenu, kalagha bahoView attachment 1398334
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, niko na wana CCM niwatengeneze kama walivyomtengeneza Lisu😀😀😀😀😀😀Uko Karantini ya siku 14?
Siyo watu, wanaccm ndiyo wanaotakiwa wajue.Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Huwa unazifuatilia na wewe mkuu? Umefahamu kuwa ni za kigogo.Naona theories za kufikirika za kigogo mnazihamishia huku.
Nyie ndio mnaotafutwa na MambosasaWatakao kufa na corona ni wale wenye betri visukari n.k. siyo mwanaye Mbowe.
Usimtafutie kesi mwenzako
Aanze na wale waliomteka Mo.Mamboleo anawatafuta waliompa sumu Mangula.
Good answer...kweli?Hakuna hatari km ya mtu kutokua na akili alafu ni mchawi km ulivyo ww na BashiteGood answer to him