Lyaule Kitundu
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 758
- 1,029
Unaitwa karo Nani?Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Hivi mangula alipewa sumu na chadema eeh, Niko nyuma na habari za siasa naomba nijuze bila jazba pleaseNaona theories za kufikirika za kigogo mnazihamishia huku.
Mkuu tunaoumwa corona tunaweza tukawa wengi including you sema tu mtoto wa Mbowe ana bahati mama yake ni daktari aliliona hilo na kutoa taarifa,Kuna watu wengi watazikwa bila watu kugundua korona ndo imefanya yake.sisi tusubirie tu takwimu za serikali yetu ambayo Mambo yake si mageni sana kwa tuliowengiMtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Kwahiyo wakaona wammalizeMzee Mangula, kinachpmponza no kuwa mkweli, amesema hajaona kosa lolote la hawa viongozi watatu, na kuhusu yale mazungumzo ya simu, akasema sio kosa na wala hawakumvunjia mtu heshima, yalikuwa mazungumzo ya faragha, lakini mwenye makosa na anayestahili kushtakiwa, ni aliyedukua na kuyaweka sokoni, alipotaka chama kikachukue ripoti ya shirika la simu ni nani aliyeiomba na nani aliyepewa, na ikawaje kaisambaza mitandaoni, alikataliwa , naye akasema hatoweza kutoa ushauri kwani hana hoja ya kuuliza
Sent using Jamii Forums mobile app
InawezekanaHivi mangula alipewa sumu na chadema eeh, Niko nyuma na habari za siasa naomba nijuze bila jazba please
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa kamanda Mbowe ana Corona, unajua Hilo? kabla ya kutaka kujua ya mzee Mangula fuatilia ya mtoto wa Mbowe, huku ukitusaidia kujibu maswali haya:
Kwa Nini Mbowe hataki kusema ukweli juu ya hali ya mwanae ?
Ana siri nzito.za chama na nchi. Tunamtaka akiwa hai asimulie mkasa wake kwa manufaa ya nchi.Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Betri ya gari solar au za tochi na radio?
Umekinywa banana imekulevya eee...Na kwanini taarifa zake zinatolewa na Polisi na sio Madaktari na sio familia kwanini watu hawakuruhusiwa kwenda kumuona, je kuna siri gani?
Je, aligoma kumfuza kwa Membe au aliunga mkono kufukuzwa kwa Membe? Nani kampa sumu?
Watu wana haki ya kujua amepelekwa wapi? na wale aliokuwa nao mara ya mwisho wanachukuliwa hatua gani?
Mzee Mangula, kinachpmponza no kuwa mkweli, amesema hajaona kosa lolote la hawa viongozi watatu, na kuhusu yale mazungumzo ya simu, akasema sio kosa na wala hawakumvunjia mtu heshima, yalikuwa mazungumzo ya faragha, lakini mwenye makosa na anayestahili kushtakiwa, ni aliyedukua na kuyaweka sokoni, alipotaka chama kikachukue ripoti ya shirika la simu ni nani aliyeiomba na nani aliyepewa, na ikawaje kaisambaza mitandaoni, alikataliwa , naye akasema hatoweza kutoa ushauri kwani hana hoja ya kuuliza
Sent using Jamii Forums mobile app
INDIA - APOLLO HOSPITAL.Mmempeleka wapi mzee Mangula?
In God we Trust