Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Aziz?

Hapa sasa ndo umemake sense ila shoppung gami ya kufanya Roma?
Kama alitaka Shopping si angeenda Paris?
Au Dubai?
Nadhani ulikuwa hunisomi vizuri kama una muda rudia kusoma comments zangu kama uko bize unabeba box basi next time.
 
Huyo nu mfanyabiashara miongoni mwa wafanyabiasha wanaombataba naa raisi na kumshauri yeye mmoja wapo
 
Hakuna mfanyabiashara popoma,wapo very smart kichwani
 
Hahaha Haya karibu tubebe wote Mabox mkuu
Mimi nimejiajiri hapa Tanzania, na kwakweli Vitumbua👈 (my favourite) havikosekani Mezani Asubuhi, Mchana mwema nao nabadilisha Wali na Ugali kwa Vitoweo mbalimbali na Samaki mara moja moja namshukuru Muumba.

Na natarajia kwenda Msumbiji nasikia Mradi wa Gesi unaanza.
 
Jamaa atamla Maza trust me!
 
Inachosha sana fikra😪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…