Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Aziz?

 
Aseme tu kua alinunua amani na Magufuli kwa kumrudisha Lowassa CCM ili Magufuli abariki mradi wa Taifa Gas na kumpa uhuru wa miradi yake Rostam.

Rostam akamrudisha Lowassa,akawapa CCM Channel Ten na Magic FM kama nyongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…