Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaelewa hoja!Siri Yao ipo jikoni siku umemkorofisha anakupikia chakula kitamu anachanganya na steel wire kidogo kwenye mboga..we ukija unabugia vyuma tu
Nimeelewa sana..labda nikwambie endapo mwanamke akakufanyia hayo Kisha yeye akatangulia kufariki je wewe utachukua mda mrefu kuishi.!?Hujaelewa hoja!
Kwa hiyo mifano yote iliyotolewa shida steel wire? Wacha hizo mwamba!Nimeelewa sana..labda nikwambie endapo mwanamke akakufanyia hayo Kisha yeye akatangulia kufariki je wewe utachukua mda mrefu kuishi.!?
Ukiachana na hao uliowataja kuna huku mtaani kwetu tunakoishi👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
Hatuwezi kufikiri wote kwa mtazamo sawa mkuu..Kwa hiyo mifano yote iliyotolewa shida steel wire? Wacha hizo mwamba!
Mke wa Dr Herryson Mwakyembe kafariki lini vile je Mwakyembe yupo au hayupo?
Vipi mke wa John Malechela waziri mkuu mstaafu?
50 years ni mzee🤔Unategemea nani abakie kumhudumia na kazeeka?
Hilo swali Namba moja lipo sana wangu Alishawahi niuliza hilo swaliHatuwezi kufikiri wote kwa mtazamo sawa mkuu..
Ndio maana wanawake wengi utaskia wanaulizia ukifa watoto wataishije..
Mara nyingi mwanamke anachowaza yeye ni kwamba mwanaume wake atawai kufa kuliko yeye..
1) sababu moja ni kwamba tunaoa wanawake ambao tumewazidi umri kivyovyote vile lazima wewe mwanaume utatangulia tu kufariki
2) wanatutanguliza kwa namna wanavyojua wenyewe akiwa kasharidhika na uzazi, ameshajua mianya yote ya uchumi wako.
3) Kuna umri ukifika utaona Mama anakazana sana kupika chakula Cha baba na sio house girl tena.hapo shtuka
Yupi huyo?👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)
Sisi wazazi wa kiume tatizo ni kule kukaa mbali na watoto mda wote unakuta umekaa sura hakuna Ata kucheka mara moja moja na mtoto atakupenda sangapiMapenzi ya watoto kwa mama zao huwa mara mbili zaidi .....kuliko kwa baba zao
Reginald utakumbuka mke wake mkubwa alifariki 2018 father akafata 2019 mwanzoniYupi huyo?
Umeandika foolishnessSiri Yao ipo jikoni siku umemkorofisha anakupikia chakula kitamu anachanganya na steel wire kidogo kwenye mboga..we ukija unabugia vyuma tu
hiyo ya mume kufariki mara baada ya mke naona haina uzito, ila ni kweli wanawake wanatuzidi lifespan
View attachment 3159724
anaitwa nani huyo mkubwa?Reginald utakumbuka mke wake mkubwa alifariki 2018 father akafata 2019 mwanzoni
Mke wake wa kwanza Jina limenitoka kichwanianaitwa nani huyo mkubwa?
There is no safe amount of alchohol.Unazungumiaje wanaume tusio kula tobacco, we drink less, eat normal foods especially natural one's
Kuna huyu Mercy Anne Mengi wanasema alikufa 2021, itakuwa yupo mwingineMke wake wa kwanza Jina limenitoka kichwani
Kuna huyu Mercy Anne Mengi wanasema alikufa 2021, itakuwa yupo mwingine
Ndo huyo huyo mzee alifariki 2018Kuna huyu Mercy Anne Mengi wanasema alikufa 2021, itakuwa yupo mwingine
Sawa kipangaUmeandika foolishness