Kwanini mara nyingi mwanamke anapotangulia kufariki mume naye huwa hachukui siku nyingi?

Kwanini mara nyingi mwanamke anapotangulia kufariki mume naye huwa hachukui siku nyingi?

Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Kwasababu ya mabadiliko ya tabia nchi,binafsi nilipofariki mke wangu alinifuata chap,nadhani ni kutokana na wivu wa kimapenzi,hakutaka nukutane na warembo wa peponi.
 
Hatuwezi kufikiri wote kwa mtazamo sawa mkuu..
Ndio maana wanawake wengi utaskia wanaulizia ukifa watoto wataishije..
Mara nyingi mwanamke anachowaza yeye ni kwamba mwanaume wake atawai kufa kuliko yeye..
1) sababu moja ni kwamba tunaoa wanawake ambao tumewazidi umri kivyovyote vile lazima wewe mwanaume utatangulia tu kufariki
2) wanatutanguliza kwa namna wanavyojua wenyewe akiwa kasharidhika na uzazi, ameshajua mianya yote ya uchumi wako.
3) Kuna umri ukifika utaona Mama anakazana sana kupika chakula Cha baba na sio house girl tena.hapo shtuka
Kweli tumefikia huko!!??
 
Mke wa Adam Yupo

Mke wa Musa Yupo

Mke wa Yusuph yupo

mke wa Abel yupo

inafikirisha sana
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Kwahiyo unataka kutuambia mtangazaji wa wasafi!
 
Inashangaza mara nyingi mwanamke anapotangulia kabla ya mwanamme

👉Mwanaume huwa hadumu sana hii ni kwasababu zipi?

👉Lakini mwanaume akutangulie kuna possibility kubwa mwanamke akabaki

Mifano halisi
👉 Mke wa Ephraim kibonde alipofariki kibonde alifuata mwaka uliofuata

👉Mzee Kigunge alianza mkewe yeye alafuata miezi michache tu

👉Mzee mengi alianza mkewe, Mengi akafata mwaka uliofuata vifo vyao havikuachana interval kubwa below one year (hii mitatu inatosha)

Twende kinyume chake:

👉Mke wa nyerere yupo
👉Mke wa mkapa yupo
👉Mke maalim seif yupo
👉Mke wa Mandela yupo
👉Mke wa Muhammad Alli yupo
(Mingine mnazijua)

Ebu tuambizane siri ni ipi wakuu tuzungumzie angle zote nne kiuchumi, kijamii, kiimani na kisaikolojia

Karibuni kwa michango
Wanaume mara nyingi hasa umri ukiwa umesonga hatupendi kufanya replacement hali inayopelekea UNYONG'ONYEVU kutukaba koo na kutukosesha pumzi kinyume na wanawake wao kama haupo machoni pake ana KUSAHAU MUDA ULEULE.
 
Marehemu babu yangu na bibi yangu walitofautiana siku 2 alianza bibi, Mungu awarehemu.



MAGUFULI4LIFE
 
Back
Top Bottom